Category: Makala
‘ROMARIO’ Mwanamuziki mwenye vituko jukwaani
TABORA Na Moshy Kiyungi Unapoingia ukumbini kusakata muziki wa bendi ya Msondo Ngoma Classic, hakika utalazimika kushikilia mbavu zako utakaposhuhudia vituko, mbwembwe na vimbwanga vya mpuliza tarumbeta, Roman Mng’ande ‘Romario’. Takriban kila onyesho la bendi hiyo yeye hufanya utundu wa…
Usakatonge ulivyopora suala la Katiba mpya
DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Ukweli unaojitetea ni kwamba kila Mtanzania mwenye ufahamu wa masuala ya kisiasa na uongozi anahitaji marekebisho ya Katiba yetu. Awe serikalini, awe upinzani au asiye na ufuasi wa chama. Awe Mkristo, Muislamu au asiyeamini…
Sakata la tozo miamala ya simu
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Pamoja na mawaziri Dk. Mwigulu Nchemba (Fedha na Mipango) na Dk. Faustine Ndugulile (TEHAMA) kusema kuwa Rais amesikia kilio cha Watanzania, mimi ninasema; “too good too late”! Kwa heshima kubwa ninawaambia wao kuwa; “hilo…
BAADA YA JANGA LA MOTO… Maisha mapya yaanza mbali na Kariakoo
DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Mamia kama si maelfu ya wafanyabiashara waliokuwa wakiendesha shughuli zao ndani na hata pembeni mwa Soko la Kimataifa la Kariakoo wameanza maisha katika masoko mengine jijini Dar es Salaam. Wafanyabiashara hao wamelazimika kuondoka Kariakoo…
Tatizo Afrika Kusini ni zaidi ya ‘Zuma’
ZANZIBAR Na Masoud Msellem Juni 29, 2021, Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini ilimhukumu aliyewahi kuwa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma (79) kwenda jela kwa miezi 15 kwa kupuuza amri ya mahakama. Amri hiyo ilimtaka atoe utetezi wa tuhuma…
Uzalendo ni mapenzi ndani ya moyo
Uananchi na utaifa wa mtu ni hali mbili ambazo zinamjenga kutokana na mapenzi mazito, ridhaa na ari moyoni ya kufanya jambo jema na kumsukuma kuwa tayari afe kwa ajili ya kuitetea nchi yake. Mtu wa aina hii ndiye hasa aletaye…