Category: Makala
Maendeleo yetu na kasi ya teknolojia
Maendeleo ya mtu au watu (jamii ) yanahitaji masharti mawili – JUHUDI na MAARIFA, ambayo msingi wake mkubwa ni mtu (mwananchi) na uwezo wake. Katika utaratibu huu ili mwananchi aendelee atahitaji vitu vinne ambavyo ni Ardhi, Watu, Siasa safi na…
Yah: Hatujawahi kuwa siriasi kwa mambo ya msingi
Kama lingekuwa ni genge halafu lipo mahali fulani mbali huko tungesema kuna ‘chuma ulete’ katika vichwa vyetu, yaani leo tunalala na hili ambalo halijaisha na kesho tunaamka na jambo jipya ambalo limebuniwa kututoa katika reli ya mambo ya jana, sisi…
Masauni: Wekezeni katika kilimo, mifugo, uvuvi
DAR ES SALAAM Na Paul Mahundi Ziara ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Masauni, Makao Makuu ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) wiki iliyopita, imeonyesha dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kufuatilia hatua…
Changamoto zilizopita zilete suluhu
DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Miaka takriban 70 ya vyama vya siasa na uhuru Afrika; Tanzania ikiwa na uzoefu wa takriban miaka 30 ya siasa za vyama vingi, lakini bado haijashuhudia upinzani ukiinusa Ikulu ya Tanzania Bara wala ya…
Familia ithamini mafunzo na maadili ya dini
Pamoja na migongano ya wataalamu wa lugha juu ya fasili ya neno familia, kiujumla familia ni kundi la watu wanaokaa pamoja kama baba, mama na watoto. Kikundi hiki mara nyingi ni sehemu ya kundi kubwa zaidi la ukoo unaounganisha watu wenye asili katika uzazi wa pamoja. Familia zinatofautiana…
Maisha ni mapambano hadi kifo
Na Joe Beda Rupia Gesi ya kupikia imepanda bei. Hili unaweza kudhani ni suala dogo tu. Lakini kwa hakika lina ukubwa wake na limenifikirisha sana. Sisi ambao wazazi wetu ni wazee na sasa wanaishi peke yao vijijini, tukaamua kuwapunguzia ‘msalaba’…