JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Rwanda yawachapa waasi Msumbiji

MAPUTO, Msumbiji Bataliani ya jeshi la Rwanda inaripotiwa kutinga kaskazini mwa Msumbiji na kufanya mashambulizi makubwa dhidi ya kikundi cha kigaidi kinachoua hovyo raia.  Ndani ya wiki mbili tu, kikosi hicho cha kwanza kutoka nje ya nchi kupelekwa kupambana na…

Tunatia aibu, tunapuuzwa

Wiki iliyopita alifariki dunia mmoja wa watu niliowapenda na kuwaheshimu mno. Utendaji kazi wake uliniaminisha kuwa pengine hakuna haja ya kuwa na mfumo huu wa sasa wa Serikali za Mitaa katika miji, manispaa na majiji.  Charles Keenja, alifanya kazi kubwa…

Maendeleo yetu na kasi ya teknolojia

Maendeleo ya mtu au watu (jamii ) yanahitaji masharti mawili – JUHUDI na MAARIFA, ambayo msingi wake mkubwa ni mtu (mwananchi) na uwezo wake. Katika utaratibu huu ili mwananchi aendelee atahitaji vitu vinne ambavyo ni Ardhi, Watu, Siasa safi na…

Yah: Hatujawahi kuwa siriasi kwa mambo ya msingi

Kama lingekuwa ni genge halafu lipo mahali fulani mbali huko tungesema kuna ‘chuma ulete’ katika vichwa vyetu, yaani leo tunalala na hili ambalo halijaisha na kesho tunaamka na jambo jipya ambalo limebuniwa kututoa katika reli ya mambo ya jana, sisi…

Masauni: Wekezeni katika  kilimo, mifugo, uvuvi

DAR ES SALAAM Na Paul Mahundi Ziara ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Masauni,  Makao Makuu ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) wiki iliyopita, imeonyesha dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kufuatilia hatua…

Changamoto zilizopita zilete suluhu

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Miaka takriban 70 ya vyama vya siasa na uhuru Afrika; Tanzania ikiwa na uzoefu wa takriban miaka 30 ya siasa za vyama vingi, lakini bado haijashuhudia upinzani ukiinusa Ikulu ya Tanzania Bara wala ya…