JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Hafla ya Rais azungumze Rais

Mzee Ali Hassan Mwinyi amepata kusema kila kitabu na zama zake. Kuanzia uongozi wa Awamu ya Kwanza hadi sasa Awamu ya Sita, yapo mambo yanabadilika kulingana na kiongozi aliye madarakani. Haiwezekani staili ya kiongozi mmoja ikafanana au ikatofautiana kwa asilimia…

Upinzani si mtu wala si watu

Na Pawa Lufunga Utawala bora unaoheshimu haki, uhuru wa wote, haki sawa na furaha kwa wote hutokana na siasa safi inayosimamiwa na jamii chini ya mifumo safi ya kisheria kupitia katiba iliyoandaliwa kwa ushiriki wa jamii. Ni wazi kuwa kila…

Kuna watu wananyimwa ‘keki ya taifa’?

Na Joe Beda Rupia Keki. Inadhaniwa kuwa ni moja kati ya vyakula vitamu duniani. Wakati mwingine hutumika kama alama ya upendo na umoja. Keki. Shughuli bila keki haijakamilika. Harusi au sherehe za kuzaliwa bila keki! Hiyo haiwezi kuwa shughuli. Haijakamilika….

Ofisa PSSSF mbaroni kwa wizi

*Adaiwa kuongoza genge la madalali feki wa mahakama *Anaswa baada ya JAMHURI kuripoti taarifa za genge hilo  DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Ilala limewafikisha mahakamani watu sita akiwamo ofisa wa Mfuko wa Pensheni kwa…

Chanjo ya corona yagombewa

*Dar es Salaam, Moshi, Arusha waomba upendeleo *Waongoza watalii waomba ruhusa kuagiza chanjo  *Wananchi waweka kando propaganda na kuamua ‘maisha kwanza’ Na Waandishi Wetu Maelfu ya wananchi wamejitokeza kupata chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, COVID-19, unaosababishwa na…

Maswali, majibu kuhusu chanjo ya corona 

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Maalumu Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) iliyo chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa ufafanuzi wa kina kuhusu aina mbalimbali za chanjo za Covid – 19 (corona). …