JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Uislamu unahimiza kufanya kazi, unapinga ukupe

Anuani ya makala yetu leo inatudai fasili ya maneno mawili ya Kiswahili: Kazi na Ukupe. Kazi kwa fasili inayozingatia sheria ni “shughuli yoyote halali inayompatia mtu kipato au masilahi fulani halali yaliyokubaliwa,” wakati kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu…

Mbowe, chanjo na hujuma CCM

Na Deodatus Balile Mpendwa msomaji salamu. Sitanii, tangu nimepata pigo la kuondokewa na Mkurugenzi mwenzetu, Mkinga Mkinga, Juni 24, 2021, sijaandika katika safu hii.  Itanichukua muda kuamini kuwa kweli Mkinga amefariki dunia, ila nalazimika kuukubali ukweli kwamba sisi tu waja…

Uamsho na majeraha ya sheria ya ugaidi

ZANZIBAR Na Masoud Msellem Karibu miezi miwili imepita sasa tangu kuachiwa huru kwa waliokuwa mahabusu; masheikh wa Jumuiya ya Uamsho Tanzania. Hawa waliswekwa kizuizini kwa zaidi ya miaka saba wakituhumiwa kutenda vitendo vya kigaidi kati ya Januari 2013 na Juni…

Hata kama hauna cheti cha ndoa unaweza kufumania

Na BashirYakub Kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, kwamba mtu asiyekuwa na cheti cha ndoa hawezi kufumania, si sahihi.   Usahihi ni kwamba mtu yeyote mwenye ndoa halali anaweza kufumania! Na hiyo inayoitwa ndoa halali…

Yah: Wazazi wahuni tukizeeka itakuwaje?

Nimepata barua na arafa nyingi kutoka kwa wasomaji wa uga huu kuhusu madhara ya kufuga uhuni wa ujanani mpaka kuutumia uzeeni.  Kimsingi si kweli kwamba nilikuwa ninataka watu ambao ni vijana wa leo waje wautumie ujana wao uzeeni, hapana, bali…

Ndimi mbili ni hatari

Binadamu ni kiumbe mwenye maumbile na sifa tofauti na wanyama wengine. Ana hulka inayomwongoza kujifunza kutoka kwa jamaa yake au jamii yake. Ana dhamiri inayomwezesha kutofautisha kati ya mambo yanayostahili kutendwa au kutotendwa katika jamii anamoishi. Aidha, binadamu ana nafsi,…