Category: Makala
Vitendo vionekane mapambano afya ya akili
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita Maneno matupu hayavunji mfupa. Msemo huu hulenga kuihamasisha jamii kuchukua hatua sahihi za kiutendaji ili kufikia malengo kusudiwa badala ya kuzungumza sana pasipo utekelezaji wowote. Kwa muda mrefu jamii imekuwa na mtazamo wa shaka katika…
Walemavu wa viungo wanawezs kuchangia uchumi wa taifa
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita “Kulemaa viungo siyo kulemaa akili” Maneno haya yana akisi wazi kuwa unaweza kuwa na udhaifu wa viungo au kukosekana kwa baadhi ya viungo vya mwili wako lakini bado ukawa na akili ya kukusadia kuyafikia malengo…
Tahadhari inapunguza athari za El Nino
Na Stella Aron, JamhuriMedia Dunia kwa sasa inakabiliwa na mabadiliko yua tabia nchi na kuwepo kwa madhara ambayo tayari kwa Bara la Afrika yamenza kuonekana. Ulimwengu umeingia rasmi katika kipindi cha El Nino, kulingana na Shirika la Sayansi la Marekani…
Kishindo cha Rais Samia, ziara ya siku tatu Zambia
Na Wilson Malima Lusaka Zambia.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan aliwasili nchini Zambia kwa ziara ya kikazi ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake Rais Hakainde Hichilema katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa…
Anna: Mwanamke aliyejifunza ushonaji, kununua cherehani kwa ruzuku ya TASAF
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Itilima RUZUKU inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini imemwezesha, Anna Ang’obo Ngasha (45), kujifunza ushonaji nguo, kununua cherehani, kazi ambayo inamwezesha kujiingizia kipato cha kuendesha maisha yake. “Nimekuwa…
Wagonjwa wanne waliopandikizwa figo Mloganzila waruhusiwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa mara nyingine kwa mafaniko makubwa kwa kushirikiana na Korea International Foundational for Health Care na Africa Future Foundation imefanya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanne ambao figo…