Category: Makala
Mbunge aandaa jimbo lake kujitenga
MWANZA Na Antony Sollo Mbunge wa Jimbo la Sengerama mkoani hapa, Khamis Tabasamu, anawaunganisha wananchi, husasan wakulima wa pamba wa jimbo hilo kujiondoa kutoka Chama Kikuu cha Ushirika cha Nyanza (NCU). Hali hiyo inakuja kama maono ya Tabasama kuwa hiyo…
Kila mwananchi awe askari wa taifa letu
DODOMA Na Javius Byarushengo Ule usemi usemao ya kale ni dhahabu si wa kupuuza hata kidogo. Ulikuwa na maana, unaendelea kuwa na maana na utaendelea kuwa na maana. Katika miaka ya nyuma, hususan katika Awamu ya Kwanza ya uongozi wa…
Kumbukeni hata Mwalimu Nyerere alikuwa mpinzani
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inatambua uhalali wa vyama vingi vya siasa. Inasema, Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa, yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa. Kumekuwapo matukio ya Jeshi…
Dk. Mwinyi aleta mapinduzi katika uwekezaji
ZANZIBAR Na Rajab Mkasaba Tangu kuanza kazi kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ya Awamu ya Nane Novemba 2020 hadi Julai 2021, Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imefanikiwa kukusanya miradi 50 yenye jumla ya mitaji ya dola za Marekani…
Viongozi wa dini tujijengee mamlaka ya kimaadili
Mamlaka ya kimaadili ni ile hali ya mtu kuwa na tabia njema inayoifanya jamii kumheshimu, kumuamini na hata kuyapa thamani maneno na ushauri wake na kufanywa kuwa chanzo cha mwongozo au mfano wa mwenendo sahihi kwa wanajamii. Huyu ni mtu…
HAKAINDE HICHILEMA (HH) Rais mpya wa Zambia aliyeshindwa mara tano
LUSAKA, ZAMBIA Na Kennedy Gondwe, BBC Baada ya kushindwa mara tano mfululizo katika Uchaguzi Mkuu wa Zambia, hatimaye bahati imemuangukia Hakainde Hichilema, na sasa amefanikiwa kuwa Rais wa taifa hilo. Hichilema amemwangusha mpinzani wake mkuu, aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar…