Category: Makala
‘Chanjo ya UVIKO-19 ishara ya upendo kwa jirani’
Na Waandishi Wetu Nia ya uchambuzi huu ni kutoa ushauri kwa watu, hususan Wakristo, katika suala la kujikinga na Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19). Tunajua ugonjwa huu ni hatari na umeua watu wengi duniani kwa kipindi kifupi. Ni janga…
Waziri Ndumbaro asikubali kutishwa
Maandiko Matakatifu ya dini zote yameeleza bayana jinsi Mwenyezi Mungu alivyoumba ulimwengu na viumbe hai. Yaliyoandikwa katika vitabu hivyo ni ya manufaa kwa wanaoamini, pia kwao wasioamini uwepo wa Mungu. Tunasoma katika Qur’aan Tukufu, Sura ya 55 (Surat Ar-Rahmaan), Aya…
Wananchi, madaktari Mtwara wafurahia huduma za madaktari bingwa wa MOI
MTWARA NA AZIZA NANGWA Wananchi mkoani Mtwara wamesema kutokana na wimbi kubwa la ajali za barabarani hasa zinazotokana na pikipiki na magari, wanaona kuna umuhimu wa kuwa na huduma za madaktari bingwa wa mifupa kwenye maeneo ya vijijini, JAMHURI limeambiwa….
PENTAGON Wizara ya Ulinzi Marekani iliyopitia misukosuko mbalimbali ya kigaidi
• Ni jengo lenye ofisi nyingi kuliko lolote duniani • Limeenea kwenye eneo la hekta 29 • Hutoa huduma za simu zipatazo maili 100,000 • Posta za jengo hilo hupokea barua zaidi ya 100,000 kila siku • Ni jengo lenye…
Ukakasi trafiki kuuliza kabila
Mwaka 2013 nikiwa Geita nilibanwa tumbo; hali iliyonifanya niende katika zahanati ya madhehebu ya dini iliyokuwa jirani. Nilipokewa na kutakiwa nitoe maelezo ya jina, umri, ninakoishi na dini. Hii haikuwa mara ya kwanza kuulizwa swali hilo katika zahanati na hospitali,…
Wizara ya Afya ipate uongozi mpya
Albert Einstein, mmoja wa binadamu wenye akili za kiwango cha juu katika karne ya 20, alipata kusema: “We cannot solve our problems with the same thinking we used when we created them.” [Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kutumia mawazo yale yale tuliyotumia…