Category: Makala
Tusherehekee haki ya kupata taarifa kwa vitendo
Na Deodatus Balile Leo ni siku ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki ya Kupata Taarifa au wengine wanasema ni ‘Siku ya Haki ya Kujua’ kama inavyojulikana kwa wadau wengi duniani. Siku hii ilitambuliwa rasmi na Umoja wa Mataifa…
Ugonjwa wa shinikizo la macho unaweza kusababisha upofu bila kuonyesha dalili
MBEYA NA MWANDISHI WETU Kutokana na ukosefu wa utaratibu wa watu kumuona daktari ili kuchunguzwa na kufanyiwa vipimo mapema (check-up), watu wengi hujikuta wakishindwa kugundulika matatizo yao mapema na kujikuta wakifika hospitalini katika hatua mbaya na za mwisho. Ili kuthibitisha…
Maelfu kunufaika na uboreshaji Mto Songwe
KYELA NA MWANDISHI WETU Bonde la Mto Songwe kijiografia lipo kusini magharibi mwa Tanzania na kaskazini mwa nchi ya Malawi, likiwa na ukubwa wa kilometa za mraba 4,243. Bonde hili linajumuisha wilaya saba; kati ya hizo wilaya tano za Kyela,…
Mkurugenzi Mtendaji MOI aikomboa Nyangao
Lindi Na Aziza Nangwa Uongozi wa Hospitali ya St. Walburg’s Nyangao mkoani Lindi umeamua kupeleka huduma za kibingwa za upasuaji wa mifupa baada ya kuona kuna changamoto kubwa ya huduma hiyo kutokana na ajali za pikipiki na mamba, JAMHURI limeambiwa….
Lupaso baada ya Mzee Mkapa
Mwaka 2004 tukiwa katika ziara ya Waziri wa Maji na Mifugo, Edward Lowassa, tulizuru kwa mara ya kwanza Kijiji cha Lupaso kilichopo Masasi mkoani Mtwara. Lupaso ndipo alipozaliwa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa. Umaarufu wa Lupaso hautofautiani…
Amwokoa mwanaye mdomoni mwa fisi
KARATU Na Bryceson Mathias Mkazi wa Kijiji cha Bassodowish kilichopo Karatu, Arusha, Paskalina Ibrahimu (36), amefanikiwa kupambana na fisi na hatimaye kumnusuru mwanaye kuuawa. Hata hivyo, pamoja na mapambano hayo, fisi alifanikiwa kunyofoa pua ya mwanaye huyo, Daniel Paskali, mwenye…