Category: Makala
Upepo wa kisiasa unavyowatikisa wanasiasa
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Tangu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi nchini Julai 1992 na kufanyika Uchaguzi Mkuu wa kwanza chini ya mfumo huo mwaka 1995, kumekuwa na wimbi la wanasiasa kuhama chama kimoja na kujiunga na…
Maono ya Baba wa Taifa kuhusu wanawake
DAR ES SALAAM Na Anna Julia Chiduo – Mwansasu Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia tena kuandika kwenye Gazeti letu la JAMHURI katika kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kilichotokea miaka 22 iliyopita, Oktoba…
Barua ya wazi kwa Rais kuhusu wamachinga
DAR ES SALAAM Na Sabatho Nyamsenda Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Natumaini u-buheri wa afya. Karibu tena nyumbani baada ya kutoka Marekani ulikohudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA). Natumaini umefurahi kurejea nyumbani. Shaaban Robert alighani akisema:…
Wateule wamemsusia Rais Samia mapambano ya corona
Na Deodatus Balile Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aitangazie dunia kwamba kwa sasa Tanzania imeamua kupambana na janga la corona, inavyoonekana kampeni hiyo inafanywa na Rais peke yake huku baadhi ya wateule wake wakiigiza. Hii…
Ziara ya Rais nchini Marekani, matunda yake
DAR ES SALAAM Na Abdul Dendego Ni kawaida kwa viongozi wakuu wa kitaifa kufanya ziara za kila mwaka na kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA). Septemba 18, 2021, Rais Samia Suluhu Hassan, ametekeleza suala hilo…
‘Hii ni awamu ya matendo makali’
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Rais wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, ameendelea kufanya mabadiliko ya uongozi katika ngazi mbalimbali, lengo likiwa ni kuleta tija katika harakati za kuwahudumia Watanzania kuleta maendeleo na ustawi wa jamii. Tangu…