Category: Makala
Barua ya wazi kwa Rais kuhusu wamachinga
DAR ES SALAAM Na Sabatho Nyamsenda Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Natumaini u-buheri wa afya. Karibu tena nyumbani baada ya kutoka Marekani ulikohudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA). Natumaini umefurahi kurejea nyumbani. Shaaban Robert alighani akisema:…
Wateule wamemsusia Rais Samia mapambano ya corona
Na Deodatus Balile Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aitangazie dunia kwamba kwa sasa Tanzania imeamua kupambana na janga la corona, inavyoonekana kampeni hiyo inafanywa na Rais peke yake huku baadhi ya wateule wake wakiigiza. Hii…
Ziara ya Rais nchini Marekani, matunda yake
DAR ES SALAAM Na Abdul Dendego Ni kawaida kwa viongozi wakuu wa kitaifa kufanya ziara za kila mwaka na kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA). Septemba 18, 2021, Rais Samia Suluhu Hassan, ametekeleza suala hilo…
‘Hii ni awamu ya matendo makali’
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Rais wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, ameendelea kufanya mabadiliko ya uongozi katika ngazi mbalimbali, lengo likiwa ni kuleta tija katika harakati za kuwahudumia Watanzania kuleta maendeleo na ustawi wa jamii. Tangu…
Idadi ya viboko yazua balaa
KATAVI Na Walter Mguluchuma Kila msiba una mwenyewe. Msemo wa wahenga unaolenga kuweka msisitizo katika umiliki wa suala lolote lile; liwe baya au zuri. Kupuuza msemo huu na mingine kadhaa iliyobeba ujumbe mzito ni kujitakia balaa na aghalabu, ni kujicheleweshea…
Benki zaagizwa kuboresha huduma kwa akina mama
DODOMA Na Costantine Muganyizi Serikali imezipongeza benki zenye utaratibu maalumu wa kuwahudumia wanawake nchini ikisema kufanya hivyo si tu kunawapa ahueni ya maisha akina mama nchini, bali pia una tija na mchango mkubwa katika ujenzi wa taifa. Pia utaratibu huo…