JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Wataka uwazi mikataba ya uziduaji

DODOMA Na Mwandishi Wetu Asasi za kiraia nchini (AZAKI) zimependekeza suala la uwazi wa mikataba ya sekta ya uziduaji kuwa mojawapo ya vipaumbele vya serikali wakati wa utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Tatu unaotekelezwa sasa. Pendekezo hilo…

Kusaka kupendwa kumeiumiza nchi

Jiji la Dar es Salaam, na bila shaka majiji na miji mingine, hali ya ustaarabu mitaani imerejea. Mitaa inapitika na thamani kwa waenda kwa miguu imerejeshwa. Bahati nzuri Watanzania wengi ni waelewa. Wapo waliodhani mpango wa kuwaondoa wamachinga katika maeneo…

Uwazi, uwajibikaji na usimamizi kikwazo sekta ya madini mkoani Lindi

Na Christopher Lilai, Lindi Uwazi, uwajibikaji na usimamizi ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazoikabili sekta ya madini nchini. Kwa kawaida, katika shughuli za utafutaji na uchimbaji wa madini ushirikishwaji wa wananchi ni mdogo sana. Katika maeneo mengi, wananchi wanaona shughuli…

Umaarufu, jinsia si sifa kuwa kiongozi bora

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Uongozi ni mchakato wa kusimamia, kuelekeza na kutoa njia zinazotakiwa kufuatwa ili kutafuta suluhu ya changamoto katika kufikia shabaha inayojengwa. Kiongozi ni mtu mwenye jukumu la kusimamia, kuelekeza na kutoa njia zinazotakiwa kufuatwa kufikiwa…

Tukisikia ya watesi wengine Sabaya ataonekana malaika

Watu waungwana hawashangilii binadamu anapofikwa na mabaya, lakini huwa hawajizuii kufurahi wanapoona haki imetendeka. Naam! Wapo wanaoshangilia si kwa kuwa Lengai Sabaya amefungwa, bali kwa kuona haki imetendeka. Ni jambo la huzuni kwa kijana mdogo kuhukumiwa kifungo kikali kiasi hicho,…

Kutaja siku ya kifo cha Mwalimu  bila kuyaishi maono yake ni kejeli

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga  Aprili 13, 1922, mtoto wa kiume alizaliwa kaskazini mashariki mwa Tanzania. Wazazi na ndugu zake hawakujua mtoto yule mdogo angekuja kuwa nani kwa taifa na duniani. Simulizi zinasema wazazi wake wakampa jina la Kambarage,…