JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Uwazi, uwajibikaji na usimamizi kikwazo sekta ya madini mkoani Lindi

Na Christopher Lilai, Lindi Uwazi, uwajibikaji na usimamizi ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazoikabili sekta ya madini nchini. Kwa kawaida, katika shughuli za utafutaji na uchimbaji wa madini ushirikishwaji wa wananchi ni mdogo sana. Katika maeneo mengi, wananchi wanaona shughuli…

Umaarufu, jinsia si sifa kuwa kiongozi bora

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Uongozi ni mchakato wa kusimamia, kuelekeza na kutoa njia zinazotakiwa kufuatwa ili kutafuta suluhu ya changamoto katika kufikia shabaha inayojengwa. Kiongozi ni mtu mwenye jukumu la kusimamia, kuelekeza na kutoa njia zinazotakiwa kufuatwa kufikiwa…

Tukisikia ya watesi wengine Sabaya ataonekana malaika

Watu waungwana hawashangilii binadamu anapofikwa na mabaya, lakini huwa hawajizuii kufurahi wanapoona haki imetendeka. Naam! Wapo wanaoshangilia si kwa kuwa Lengai Sabaya amefungwa, bali kwa kuona haki imetendeka. Ni jambo la huzuni kwa kijana mdogo kuhukumiwa kifungo kikali kiasi hicho,…

Kutaja siku ya kifo cha Mwalimu  bila kuyaishi maono yake ni kejeli

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga  Aprili 13, 1922, mtoto wa kiume alizaliwa kaskazini mashariki mwa Tanzania. Wazazi na ndugu zake hawakujua mtoto yule mdogo angekuja kuwa nani kwa taifa na duniani. Simulizi zinasema wazazi wake wakampa jina la Kambarage,…

Upepo wa kisiasa unavyowatikisa wanasiasa

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Tangu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi nchini Julai 1992 na kufanyika Uchaguzi Mkuu wa kwanza chini ya mfumo huo mwaka 1995, kumekuwa na wimbi la wanasiasa kuhama chama kimoja na kujiunga na…

Maono ya Baba wa Taifa kuhusu wanawake

DAR ES SALAAM Na Anna Julia Chiduo – Mwansasu Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia tena kuandika kwenye Gazeti letu la JAMHURI katika kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kilichotokea miaka 22 iliyopita, Oktoba…