JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Biashara Tanzania, India yadorora

KIBAHA Na Costantine Muganyizi Baada ya kuimarika na kufikia wastani wa zaidi ya dola za Marekani bilioni 2.5 mwanzoni mwa muongo huu, kiasi cha biashara kati ya Tanzania na India kimeshuka sana miaka ya hivi karibuni. Kiasi hicho cha thamani…

‘TASAF ni malaika aliyetumwa na Mungu’

MLELE Na Walter Mguluchuma Ruzuku inayotolewa na serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imewawezesha wanakaya maskini katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi kujikwamua kimaisha kwa kuanzisha shughuli za kiuchumi. Kwa miaka saba sasa TASAF imekuwa mstari…

Mapinduzi ya kijeshi, ulafi wa madaraka Afrika

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Baada ya kutawaliwa kwa miaka zaidi ya 70, hatimaye nchi za Afrika zilianza kujitawala na kuunda jumuiya mbalimbali chini ya jumuiya mama, OAU na baadaye AU zenye madhumuni ya kulinda amani, umoja na…

Vijana wanaweza, urais si kwa wazee pekee

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Desturi za maisha ya jamii zinabadilika kila siku kutokana na mageuzi mbalimbali ya vitu na mazingira. Mabadiliko haya yanayochochewa na vitu vya asili na hata matendo ya binadamu huchochea pia mabadiliko katika tabia na…

Taratibu tunarejea tulikokuwa kabla

Mmoja wa wasomaji kindakindaki wa JAMHURI amenipigia simu na kuukosoa msimamo wangu kuhusu wachuuzi (wamachinga), akisema ninavyopendekeza watengewe maeneo maalumu, maana yake ninataka tatizo hilo liendelee kukua. Kwa mtazamo wake, uwepo wa wamachinga wengi kiasi kinachoonekana sasa katika miji na…

Hoja ya Afrika moja iliishia wapi?

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga  Afrika ina historia ndefu inayohusishwa na maisha magumu kutokana na ukosefu wa siasa safi, ajira na matumizi mabaya ya rasilimali zilizopo. Maisha ya Mwafrika kijamii, kisiasa, kiutamaduni na kiuchumi ndiyo yanayoonekana duni kuliko maeneo…