JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Mabadiliko tabianchi, hatima ya kilimo chetu

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi  Tanzania inajulikana kuwa ni nchi ya wakulima na wafanyakazi. Alama katika bendera ya TANU na baadaye CCM ni jembe na nyundo. Alama ya jembe inawakilisha wakulima na nyundo inawakilisha kundi la wafanyakazi katika…

Mfumo wa uchumi, dhana ya kukosekana kwa ajira 

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Kumekuwa na mjadala kuhusu tatizo la ajira hapa nchini. Ni mjadala wenye sura nyingi namna unavyojadiliwa. Taarifa ya Uchumi ya Mwaka 2018 inasema kila mwaka wahitimu wanaomaliza elimu ya chuo kikuu ni zaidi ya laki nane…

Huyu Bernard Membe vipi?

DAR ES SALAAM Na Dk. Boniphace Gaganija Kwa mfululizo, matoleo mawili ya Gazeti pendwa la JAMHURI, Bernard Membe, amekuwa akiwaelezea Watanzania chuki yake dhidi ya Serikali ya Awamu ya Tano na CCM kwa kipindi hicho. Swali langu ni je, hivi…

Nini hatima ya mishahara hii minono?

DODOMA Na Javius Byarushengo Miongoni mwa nadharia zinazohusiana na chanzo cha uhalifu katika jamii ni ‘nadharia ya migogoro’ (conflict theory).  Nadharia hii inaeleza kuwa tabia potofu ni matokeo ya kutokuwapo usawa wa kiuchumi na kisiasa katika jamii. Wananadharia wanasema migogoro…

Atatoka wapi Mzee Mayega mwingine?

DAR ES SALAAM Na Abdul Saiwaad Katikati ya miaka ya 1980, sikumbuki ilikuwa mwaka gani hasa, nilipofahamishwa kwa Paschally Boniface Mayega. Rafiki yangu aitwaye Kamugisha ndiye aliyenitambulisha.  Tulikutana Posta Mpya ambapo Mayega alikuwa akifanya kazi Idara ya Mauzo ya Simu….

MWAKA MMOJA IKULU Dk. Mwinyi anavyokataa kufukua makaburi 

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Alhamisi Oktoba 29, 2020, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ilimtangaza Dk. Hussein Ali Mwinyi kuwa mshindi wa nafasi ya Rais wa Zanzibar, kwa ushindi wa asilimia 76.27 ya kura zilizopigwa. Akizungumza baada ya…