JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Tunapambana na corona, tumesahau ukimwi

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Dunia imekumbwa na janga la ugonjwa wa corona (Uviko -19).Ugonjwa huu wa homa kali ya mapafu uligundulika kwa mara ya kwanza Desemba 2019 katika Jiji la Wuhan, China. Ukaanza kusambaa kwa kasi katika…

Pesa taslimu zinavyoligharimu taifa

*Sh trilioni 3 hupotea kila mwaka kupitia miamala KIBAHA Na Costantine Muganyizi Katika upande huu wa dunia ambako ni watu wachache wenye uhakika wa milo mitatu kamili kwa siku, Sh bilioni 1 ni fedha nyingi sana. Na ili ufikishe Sh…

Marekani inawezaje kuwa  kiranja wa demokrasia?

Na Nizar K. Visram Desemba 9 na 10 mwaka huu, Joe Biden, Rais wa Marekani, ameitisha mkutano wa kimataifa kuhusu demokrasia.   Alizialika nchi 110 katika mkutano wa kilele uliofanyika kwa njia ya mtandao. Licha ya wakuu wa nchi, walialikwa pia…

Nashauri Aisha apewe tuzo ya kitaifa

Laiti tungekuwa tunahangaishwa na mambo serious, kwa hakika taarifa ya dada Aisha Twalibu, mlinzi wa kampuni binafsi pale Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, ndiyo ingepamba mijadala kwenye vyombo vya habari na mitaani kwetu kote. Huhitaji kuelezwa ukweli kwamba mtu yeyote anayefanya…

Nyimbo mbaya habembelezewi mwana

Na Joe Beda Rupia Sina hakika kama hili bado linafanyika, lakini zamani akina mama walikuwa wakiwabembeleza watoto wao kwa kuwaimbia nyimbo. Kwa namna yoyote ile, nyimbo zilizokuwa zikitumika kuwabembeleza watoto ni lazima ziwe nzuri na za kuvutia. Nyimbo tamutamu! Ni…

Upinzani ndani ya ‘upinzani’ hauwezi kuing’oa CCM

DODOMA Na Javius Byarushengo Chakula hata kiwe kitamu kiasi gani, kikiliwa kwa muda mrefu, tena mfululizo, hukinai na kuhitaji chakula kingine. Wali ni chakula kikuu Tanzania na kinapendwa na wengi, lakini ajabu ni kwamba wali ukiliwa mfululizo asubuhi, mchana na…