JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Marekani inawezaje kuwa  kiranja wa demokrasia?

Na Nizar K. Visram Desemba 9 na 10 mwaka huu, Joe Biden, Rais wa Marekani, ameitisha mkutano wa kimataifa kuhusu demokrasia.   Alizialika nchi 110 katika mkutano wa kilele uliofanyika kwa njia ya mtandao. Licha ya wakuu wa nchi, walialikwa pia…

Nashauri Aisha apewe tuzo ya kitaifa

Laiti tungekuwa tunahangaishwa na mambo serious, kwa hakika taarifa ya dada Aisha Twalibu, mlinzi wa kampuni binafsi pale Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, ndiyo ingepamba mijadala kwenye vyombo vya habari na mitaani kwetu kote. Huhitaji kuelezwa ukweli kwamba mtu yeyote anayefanya…

Nyimbo mbaya habembelezewi mwana

Na Joe Beda Rupia Sina hakika kama hili bado linafanyika, lakini zamani akina mama walikuwa wakiwabembeleza watoto wao kwa kuwaimbia nyimbo. Kwa namna yoyote ile, nyimbo zilizokuwa zikitumika kuwabembeleza watoto ni lazima ziwe nzuri na za kuvutia. Nyimbo tamutamu! Ni…

Upinzani ndani ya ‘upinzani’ hauwezi kuing’oa CCM

DODOMA Na Javius Byarushengo Chakula hata kiwe kitamu kiasi gani, kikiliwa kwa muda mrefu, tena mfululizo, hukinai na kuhitaji chakula kingine. Wali ni chakula kikuu Tanzania na kinapendwa na wengi, lakini ajabu ni kwamba wali ukiliwa mfululizo asubuhi, mchana na…

Siri ya kukimbiwa baada ya kung’atuka

Tumemsikia aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akilalamika kuwa baada ya kung’atuka marafiki hawaonekani! Baada ya kustaafu ndiyo ametambua kuwa kumbe baadhi ya marafiki walikuwa ni marafiki wa nafasi aliyokuwa nayo, na kamwe hawakuwa…

Wasudan waukataa utawala wa kijeshi

Na Nizar K Visram Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliandamana kote nchini mwao wakimkataa Rais Omar Hassan Ahmad al-Bashir aliyetawala kwa muda wa miaka 30. Polisi walitumia silaha na raia wengi waliuawa.  Mwishowe jeshi likalazimika kumuondoa Bashir na kumweka chini…