JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Askofu Tutu aaga dunia

JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Mshindi wa Tuzo ya Amani, mpigania uhuru maarufu na mpinzani wa ubaguzi wa rangi, Askofu Mkuu Desmond Mpilo Tutu wa Afrika Kusini, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90. Tutu, ambaye kwa miongo kadhaa alishiriki kikamilifu…

Wakulima India walivyobatilisha sheria kandamizi

Na Nizar K Visram Maandamano na mgomo wa wakulima zaidi ya 100,000 nchini India hatimaye umemalizika baada ya serikali kukubaliana na madai yao.  Wakulima hao walipiga kambi nje ya mji mkuu wa New Delhi, wakitaka serikali ibatilishe sheria tatu ambazo…

Nani atuondolee uhasama wa CCM, Chadema?

MOROGORO Na Mwandishi Wetu “Ni nani atakayetuondolea lile jiwe?” Swali gumu walilojiuliza wanawake watatu wa kwenye Biblia ile siku ya kwanza ya juma walipokwenda kaburini wakiwa na nia ya kumpaka mafuta Yesu (mwili wa Yesu uliokuwa umezikwa kaburini) kukamilisha taratibu…

Je, Krismasi ni sikukuu ya kipagani?

MWANZA Na Mwandishi Wetu Ifikapo Desemba kila mwaka huwa kuna mabishano yanaibuka kuhusu tarehe ya Sikukuu ya Krismasi ilivyopatikana.  Mwaka 1743, Profesa Paul Jablonski, alihubiri kwamba Desemba 25 ilikuwa sikukuu ya kipagani lakini Kanisa Katoliki likaigeuza kuwa siku ya Krismasi…

Anayegawa mali za marehemu ni msimamizi wa mirathi, si mahakama

Na Bashir Yakub  Unapokwenda kufungua shauri la mirathi mahakamani haimaanishi kuwa unakwenda kuiomba mahakama kugawa mali za marehemu. Bali unakwenda kufungua mirathi ili utambulike rasmi kimamlaka na kisheria kuwa wewe ni msimamizi wa mirathi.  Mahakama haitakiwi kugawa mali za marehemu kwani mahakama…

Kuna wakati namkumbuka Kangi Lugola

Na Joe Beda Rupia Mungu aliumba kusahau. Ndiyo. Kusahau ni jambo zuri sana. Tusingekuwa tunasahau, dunia ingejaa visasi. Wakati ukipita, watu husahau na maisha yanaendelea. Tanzania katika miaka yake 60 ya uhuru, imekuwa na mawaziri wa Mambo ya Ndani wengi…