Category: Makala
Nani atuondolee uhasama wa CCM, Chadema?
MOROGORO Na Mwandishi Wetu “Ni nani atakayetuondolea lile jiwe?” Swali gumu walilojiuliza wanawake watatu wa kwenye Biblia ile siku ya kwanza ya juma walipokwenda kaburini wakiwa na nia ya kumpaka mafuta Yesu (mwili wa Yesu uliokuwa umezikwa kaburini) kukamilisha taratibu…
Je, Krismasi ni sikukuu ya kipagani?
MWANZA Na Mwandishi Wetu Ifikapo Desemba kila mwaka huwa kuna mabishano yanaibuka kuhusu tarehe ya Sikukuu ya Krismasi ilivyopatikana. Mwaka 1743, Profesa Paul Jablonski, alihubiri kwamba Desemba 25 ilikuwa sikukuu ya kipagani lakini Kanisa Katoliki likaigeuza kuwa siku ya Krismasi…
Anayegawa mali za marehemu ni msimamizi wa mirathi, si mahakama
Na Bashir Yakub Unapokwenda kufungua shauri la mirathi mahakamani haimaanishi kuwa unakwenda kuiomba mahakama kugawa mali za marehemu. Bali unakwenda kufungua mirathi ili utambulike rasmi kimamlaka na kisheria kuwa wewe ni msimamizi wa mirathi. Mahakama haitakiwi kugawa mali za marehemu kwani mahakama…
Kuna wakati namkumbuka Kangi Lugola
Na Joe Beda Rupia Mungu aliumba kusahau. Ndiyo. Kusahau ni jambo zuri sana. Tusingekuwa tunasahau, dunia ingejaa visasi. Wakati ukipita, watu husahau na maisha yanaendelea. Tanzania katika miaka yake 60 ya uhuru, imekuwa na mawaziri wa Mambo ya Ndani wengi…
Tunapambana na corona, tumesahau ukimwi
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Dunia imekumbwa na janga la ugonjwa wa corona (Uviko -19).Ugonjwa huu wa homa kali ya mapafu uligundulika kwa mara ya kwanza Desemba 2019 katika Jiji la Wuhan, China. Ukaanza kusambaa kwa kasi katika…
Pesa taslimu zinavyoligharimu taifa
*Sh trilioni 3 hupotea kila mwaka kupitia miamala KIBAHA Na Costantine Muganyizi Katika upande huu wa dunia ambako ni watu wachache wenye uhakika wa milo mitatu kamili kwa siku, Sh bilioni 1 ni fedha nyingi sana. Na ili ufikishe Sh…