JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Kashfa ya riba na vituko vya binti wa mkurugenzi

London ina upepo, ubaridi wa haja na mvua kwa siku mbili tatu hizi, lakini kuna wanaotokwa na jasho. Kihoro kimewashika wanene wachache, kwa sababu ya kashfa ya kupanga viwango vya riba za kukopeshana kwa benki za hapa.

Madaktari Bingwa Dar watoa masharti magumu

Hili ni tamko la madaktari bingwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hawa wanahusisha hospitali za umma za Muhimbili (MNH), MOI, Ocean Road na Hospitali za manispaa katika mkoa huo.

 

Tamko ya Bodi ya Wadhamini MNH

Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ilikutana tarehe 28 Juni 2012 kujadili na kutathmini hali ya utendaji na utoaji wa huduma hivi sasa katika hospitali.

 

Vituko vya Jeshi la Polisi

*Lakodi kina mama ili wawapekue watuhumiwa   Kituo cha Polisi Mbuguni, Arumeru Mashariki mkoani Arusha, kinalazimika kukodi wanawake wanaoishi jirani na kituo hicho ili kuwafanyia upekuzi watuhumiwa wanawake kabla ya kuwaweka mahabusu.   Kukodiwa kwa kina mama majirani kunatokana na…

Bilionea akubaliwa kujenga uwanja Serengeti

Mamlaka zote za Serikali zimeridhia ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mugumu, Serengeti mkoani Mara.

Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba

*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika

*Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno

 

Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini.