JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Ewura yaokoa bilioni 170/-

*Ni baada ya kudhibiti uchakachuaji kwa kuweka vinasaba

*Wabunge waliotemeshwa ulaji wanaanza harakati ivunjwe

 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeliwezesha taifa kuokoa zaidi ya Sh bilioni 170 kwa mwaka, lakini hatua hiyo imewakera baadhi ya wabunge waliokuwa wakichakachua na sasa wanafanya mbinu ivunjwe.

Hotuba ya Upinzani iliyozuiwa bungeni hii hapa

Wiki iliyopita Serikali iliibua hoja na kufanikiwa kuzuia baadhi ya maneno yaliyokuwamo kwenye hotuba ya Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzanji Bungeni wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Vincent Nyerere, yasisomwe. JAMHURI inakuletea hicho kilichozuiwa kusomwa.

Siri ya mafanikio yangu kiuchumi – 2

Wiki iliyopita nilieleza namna changamoto za kiuchumi zinavyowahenyesha wafanyakazi. Pia nilianza kueleza mchapo unaonihusu wa namna nilivyopambana kujikwamua kiuchumi nikiwa nimeajiriwa kwa kazi ya ualimu. Leo nitahitimisha kwa kubainisha mbinu kadhaa ili kumudu mchakamchaka wa maisha ya kiuchumi. Endelea…

Museveni: Waafrika hatujui kuomba

“Tatizo letu sisi Waafrika hatujui kuomba, na hata tunapopata fursa ya kuomba hatuombi kwa akili. Nilipokwenda kwa Gaddafi [wakati napigana vita ya kumuondoa Idi Amin) aliniuliza ‘Nikupe pesa?’ Nikasema hapana. Akasema ‘Nikupe sare za askari?’ Nikamwambia hapana. Akasema ‘Unataka nini sasa kwangu?’ Nikamwambia bunduki na risasi.”

Tuukatae ushoga na ndoa za jinsi moja – 2

Ninachukizwa sana na matamshi ya mara kwa mara kutoka kwa viongozi wakuu wa mataifa ya Magharibi.  Hivi karibuni mkuu wa Marekani ametamka kuwa anaunga mkono ndoa za jinsi moja.

Tuukatae ushoga na ndoa za jinsi moja – 1

 

Siku za karibuni nchi za Afrika zimetamkiwa na wakubwa matajiri wa nchi za Magharibi kupokea tabia ngeni ya ushoga na ndoa za jinsi moja. Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, amediriki hata kutishia kunyima misaada kutoka Uingereza kwa nchi zile zitakazokataa siasa yake hiyo ya kutambua ndoa za jinsi moja.