Category: Makala
Baada ya Ziwa Nyasa, mgogoro sasa waibuka Ziwa Kitangiri
Umiliki wa Ziwa Kitangiri unafanana na mgogoro uliopo sasa wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi katika Ziwa Nyasa. Wakati mgogoro wa Malawi ukipewa kipaumbele, huu wa Ziwa Kitangiri linalotenganisha wilaya za Meatu na Iramba haujapewa msukumo wa kutosha.
Mwalimu wa Mwalimu Nyerere alivyoagwa
*Pinda asema yeye ndiye Mwalimu Mkuu wa Taifa letu
*Afa akidai malipo ya kiinua mgongo, fedha za usafiri
*Serikali yaahidi kuendelea kumtunza mjane wake
Mramba: Kuleni nyasi
“Tupo tayari kula hata nyasi, lakini lazima ndege ya Rais inunuliwe”
Haya ni maneno aliyoyatoa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Pesambili Mramba wakati wa Awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin Mkapa Bunge lilipoelekea kukataa ununuzi wa ndege ya Rais.
Tujifunze kutokuwa wavivu wa kufikiri
Mwalimu Julius Nyerere katika kitabu chake cha TUJISAHIHISHE alisema, “Wengine humwona mwenzao anafanya kosa, badala ya kumwabia pale pale kijamaa kwamba atendalo ni kosa, watanyamaza kimya. Lakini hawanyamazi kabisa! Watakwenda kumteta katika vikundi vya siri siri.
Nani anawashika mkono wajasiriamali?
Mwezi mmoja uliopita niliandika makala iliyokuwa na kichwa cha habari “Barua ya biashara kwa BRELA”. Brela ni Mamlaka ya Uandikishaji Biashara na Leseni. Baada ya kuitoa gazetini niliituma pia barua hiyo huko Brela kwa njia ya barua pepe.
TAFAKURI YA HEKIMA
Polisi wangeweza kuepusha mauaji ya Mwangosi
Nianze kwa kutoa salamu za rambirambi na pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na watu wote walioguswa na kifo cha mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daudi Mwangosi. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, amina.