JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Nyerere: Ubovu wa CCM

“Ubovu wa uongozi ndani ya CCM ndio uliofanya nikapendekeza tuanzishe mfumo wa vyama vingi.  Nilitumaini kuwa tunaweza kupata chama kingine kizuri ambacho kingeweza kuiongoza nchi yetu badala ya CCM; au ambacho kingekilazimisha CCM kusafisha uongozi wake, kwa kuhofia kuwa bila kufanya hivyo kitashindwa katika uchaguzi ujao.”

Haya ni maneno ya Mwasisi na Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, wakati akiwahusia viongozi wa CCM kujirekebisha na kutumikia wananchi.

Kampuni za kigeni zinavyosulubisha za wazawa

Wakati fulani kule nchini Marekani kulitokea malumbano makali baina ya kampuni za Brother na Smith Corona zenye nguvu na ushindani mkali. Kampuni hizo zinajishughulisha na utengenezaji wa bidhaa zinazofanana zikiwamo mashine za kuchapa (typewriters), vichapishi (keyboards) za kompyuta, viyoyozi na vifaa lukuki vya kielektroniki.

Papa John Paul II: Mapadre si wanasiasa

“Ninyi ni wachungaji, si viongozi wa kijamii wala viongozi wa kisiasa. Hebu tujiepushe na mihemko itakayotufanya kuchanganya huduma ya Mungu na masilahi ya kupita yaliyotiwa chumvi.” Haya ni maneno ya Baba Mtakatifu Papa John Paul II alipokuwa akiwaasa wachungaji na…

NFRA, WFP kuuziana nafaka

Hatimaye Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wametiliana saini katika Hati ya Makubaliano ya kuuziana nafaka, hususan mahindi.

Mjasiriamali unalindaje mali zako?

Wiki takribani tatu zilizopita niliandika makala kuhusu fursa ya kilimo cha miti. Nina furaha kubwa kuwajulisha kuwa watu wengi wamekuwa na mwitikio mkubwa na wamechangamkia fursa ile. Ninapenda kuwatambua ndugu wawili (sitawataja majina) ambao wiki iliyopita walisafiri kutoka Tabora hadi hapa Iringa kuwahi fursa ya kilimo cha miti.

Lisemwalo kuhusu Mbunge Wenje lisipuuzwe

 

Kwa kitambo sasa, Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza, Ezekiel Wenje (Chadema), anatuhumiwa kuendesha kwa siri mkakati wa kuhujumu harakati za vijana wanaoonekana kuwa tishio la wadhifa wake huo.