JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

KARIBU 2022… Leta mwarobaini vifo vya visa vya mapenzi

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Paulo Mapunda Mwishoni mwa mwaka 2021, katika mitandao ya kijamii kulisambazwa picha zikionyesha matukio kadhaa ya watu kuuawa hasa kutokana na visa vya mapenzi.  Kulikuwa na picha za watoto watatu walionyongwa hadi kufa na mama…

‘Demokrasia’ iliyoletwa na NATO Libya

Na Nizar K Visram Uchaguzi wa Rais uliopangwa kufanyika nchini Libya Desemba 24, mwaka jana umeahirishwa ghafla baada ya Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa maaandalizi yaliyofanywa hayatoshi.  Tume ilitangaza siku mbili tu kabla ya uchaguzi, bila kusema sasa utafanyika lini….

Tuwatakie ndugu zetu Wakristo heri ya Krismasi na Mwaka Mpya 2022 (1)

Makala ya leo yenye anuani ‘Tuwatakie ndugu zetu Wakristo heri ya Krismasi na Mwaka Mpya 2022’ inaangazia suala lenye mitazamo miwili inayopingana katika jamii ya Kiislamu kutokana na kutofautiana rai za wanazuoni wa Kiislamu kuhusu suala hili.  Mtazamo mmoja ni…

Soko la ajira jinamizi linalowatesa wahitimu

Madhumuni ya elimu ni kumkomboa mhitimu kifikra ili aweze kuyamudu na kuyatawala mazingira yanayomzunguka. Elimu pia inatoa nafasi kwa mhitimu wa ngazi fulani kukabiliana na changamoto za maisha ya kila siku. Elimu wakati wa ukoloni ilitolewa kwa matabaka makubwa ambayo…

Hivi kweli Polepole ni mwanaharakati?

DODOMA Na Javius Byarushengo Huwa sipendi kuandika maisha ya mtu binafsi, isipokuwa kama kuna ulazima na kwa masilahi ya taifa. Kwa miezi kadhaa sasa Mbunge wa Kuteuliwa, Humphrey Polepole, kwa kutumia kipindi alichokianzisha mtandaoni cha ‘Shule ya Uongozi’, amekuwa akizungumzia…

Hali ya misitu baada ya miaka 60 ya Uhuru

Na Dk. Felician Kilahama Awali ya yote nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uhai na amani hadi kushuhudia taifa letu linaadhimisha miaka 60 tangu ‘Tanganyika’ ilipopata uhuru Desemba 9, 1961.  Kadhalika, ifikapo Aprili 26, 2022 tutafikisha miaka…