Category: Makala
NFRA, WFP kuuziana nafaka
Hatimaye Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wametiliana saini katika Hati ya Makubaliano ya kuuziana nafaka, hususan mahindi.
Mjasiriamali unalindaje mali zako?
Wiki takribani tatu zilizopita niliandika makala kuhusu fursa ya kilimo cha miti. Nina furaha kubwa kuwajulisha kuwa watu wengi wamekuwa na mwitikio mkubwa na wamechangamkia fursa ile. Ninapenda kuwatambua ndugu wawili (sitawataja majina) ambao wiki iliyopita walisafiri kutoka Tabora hadi hapa Iringa kuwahi fursa ya kilimo cha miti.
Lisemwalo kuhusu Mbunge Wenje lisipuuzwe
Kwa kitambo sasa, Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, mkoani Mwanza, Ezekiel Wenje (Chadema), anatuhumiwa kuendesha kwa siri mkakati wa kuhujumu harakati za vijana wanaoonekana kuwa tishio la wadhifa wake huo.
Baada ya Ziwa Nyasa, mgogoro sasa waibuka Ziwa Kitangiri
Umiliki wa Ziwa Kitangiri unafanana na mgogoro uliopo sasa wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi katika Ziwa Nyasa. Wakati mgogoro wa Malawi ukipewa kipaumbele, huu wa Ziwa Kitangiri linalotenganisha wilaya za Meatu na Iramba haujapewa msukumo wa kutosha.
Mwalimu wa Mwalimu Nyerere alivyoagwa
*Pinda asema yeye ndiye Mwalimu Mkuu wa Taifa letu
*Afa akidai malipo ya kiinua mgongo, fedha za usafiri
*Serikali yaahidi kuendelea kumtunza mjane wake
Mramba: Kuleni nyasi
“Tupo tayari kula hata nyasi, lakini lazima ndege ya Rais inunuliwe”
Haya ni maneno aliyoyatoa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Pesambili Mramba wakati wa Awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin Mkapa Bunge lilipoelekea kukataa ununuzi wa ndege ya Rais.