JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Uuzwaji ardhi Bagamoyo waitisha Serikali

 

* DC atoa tamko kali, awaonya wavamizi

* Ataka wanunuzi wafuate kanuni, sheria

* Ashauri wenyeji wabakize ya kuwasaidia

* Mifugo yailemea wilaya, aipiga marufuku


Serikali katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, imewataka wananchi wawe makini katika uuzaji ardhi, kutokana na wimbi la Watanzania na raia wa kigeni wanaojitwalia ardhi kubwa wilayani humo.

 

Nyerere: Vyombo vya umma

“Vyombo vya umma vitumiwe kuhudumia wananchi. Wote wanaoviharibu ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi, lazima wajisahihishe; la sivyo wanyang’anywe madaraka.”

Ni maneno ya mwasisi na Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, alipowaasa viongozi kutumia vizuri madaraka yao kwa kuhakikisha vyombo vya umma vinahudumia wananchi kwa uzito unaostahili.

Waziri Mwakyembe alikosea kuhamishia ofisi kanisani

 

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ni miongoni mawaziri wachache wanaoheshimika nchini, kutokana na jitihada kubwa anazofanya katika kuwatumikia wananchi.

Ni ujamaa wa China ama ubepari wa Marekani?

 

Wakati wa ziara yake nchini Marekani, Januari mwaka jana, Rais wa China ‘alimuondoa’ hofu bwana mkubwa wa dunia, Rais wa Marekani, Barack Obama, kwa kumwambia kuwa China haina mpango wowote wa kuutawala uchumi wa dunia.

Natamani serikali ya China ingekuwa Tanzania

Waswahili siku zote husema adaa ya mja kunena, muungwana ni kitendo. Serikali ya China ni mfano mzuri wa kuigwa kwa jinsi inavyosimamia sheria, sera na taratibu zake kwa vitendo. Natamani serikali ya China ingekuwa Tanzania ili, pamoja na mambo mengine, ishughulikie kwa vitendo watumishi wanaotumia vibaya madaraka na ofisi za umma.

Utaifa hauna dini (1)

 

Wakoloni, hasa Waingereza, walikuwa na ubaguzi wa hali ya juu. Miongoni mwa raia wao walikuwapo walioitwa raia halisi (British nationals), na raia watawaliwa (British subjects).