Category: Makala
Hawa ndio maadui wa Uislamu Tanzania
Tunapo kuwa tunajiuliza mhemko wa udini unatoka wapi au nani wameusababisha na kuuasisi si vibaya tukajua maadui wakuu kwa upande wetu waislamu. Ukimjua adui ni rahisi kupambana naye na ni nusu ya ushindi kwenye vita ya kutafuta haki au usawa au kuondoa tunao uita unyanyasaji kwa waislamu au mfumo kristo kama wengine wanavyo penda kuita (Mimi sio muumini wa dhana ya mfumo kristo) maana nimeona wakati wote waislamu wenzangu wakishika nafasi kubwa serikalini, kwenye mashirika ya umma na hata mashirika binafsi.
Nyerere: Nuru ya amani iliyozimika
“Ugonjwa huu sitapona Watanzania watalia Nitawaombea kwa Mungu”
MIAKA 13 iliyopita Taifa la Tanzania liligubikwa na majonzi mazito kutokana na kifo cha mwasisi wake, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Rais Nyerere alipokosa maji ya kuoga Kibondo
Mpenzi msomaji wa JAMHURI, katika toleo lililopita tuliona jinsi ambavyo Mwalimu Nyerere alijizatiti kutetea Muungano na mambo mengine mengi kwa maslahi ya Taifa letu. Sasa endelea na sehemu hii ya mwisho ya makala hiyo…
Nyerere shujaa wa Tanzania, Utanzania na Watanzania
Kati ya watu wagumu kuwajadili hapa duniani ni Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Uuzaji ardhi
“…Tukiruhusu ardhi iuzwe kama kanzu, katika muda mchache, kutakuwa na kundi dogo la Waafrika wakiwa na ardhi na walio wengi watakuwa watwana.”
Je, Mwalimu Nyerere aliunyonga ujasiriamali?
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha mfumo wa kiuchumi wa Ujamaa na Kujitegemea, mara tu baada ya Tanganyika kujipatia uhuru wake.