Category: Makala
Motisun Holding Ltd: Mhimiri wa maendeleo ya Taifa
*Yajipanua hadi mataifa ya Zambia, Uganda
*Watoto wa wafanyakazi wasomeshwa bure
*Watumishi wapewa vifaa ujenzi wa nyumba
*Ni mali ya Watanzania kwa asilimia mia moja
Oktoba 10, mwaka huu, wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, walizuru viwanda vinavyomilikiwa na Kampuni ya Motisun Holdings Limited vilivyopo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi watishia kuisulubu CCM
Wafanyakazi mbalimbali nchini wameahidi kukisulubu Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao (2015), ikiwa Serikali haitatengua Sheria mpya ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Nyerere: Kataeni kukandamizwa
“Watanzania watakuwa ni wajinga na mataahira, kama watakubali kuendelea kukandamizwa na watu wachache katika nchi yao wenyewe….”
Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema hayo kuwahimiza Watanzania kupinga vitendo vya ukandamizaji ndani ya nchi yao.
Serikali ya CCM haiwezi kudhibiti rushwa
Mwaka huu, wakati Tanzania ikielekea kufanya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachounda Serikali, kimejidhihirisha kuwa hakina ubavu wa kudhibiti tatizo la rushwa nchini.
Wajasiriamali wanavyotawala siasa za dunia
Baada ya Japan kuibuka kwa kasi kimaendeleo, iliitamanisha sana Marekani kiasi cha kuwafanya wanauchumi wengi wa Marekani kuwa na kiu ya taifa lao kuiga mfumo wa kiuchumi wa Japan.
Utaifa hauna dini (3)
Ndiyo kusema licha ya fursa kubwa kielimu walizopata watu wa mwambao siku zile kuelimisha watoto wao, jamaa hawa Waswahili hawakuzitumia.