JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Serikali ya CCM haiwezi kudhibiti rushwa

Mwaka huu, wakati Tanzania ikielekea kufanya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachounda Serikali, kimejidhihirisha kuwa hakina ubavu wa kudhibiti tatizo la rushwa nchini.

Wajasiriamali wanavyotawala siasa za dunia

Baada ya Japan kuibuka kwa kasi kimaendeleo, iliitamanisha sana Marekani kiasi cha kuwafanya wanauchumi wengi wa Marekani kuwa na kiu ya taifa lao kuiga mfumo wa kiuchumi wa Japan.

Utaifa hauna dini (3)

Ndiyo kusema licha ya fursa kubwa kielimu walizopata watu wa mwambao siku zile kuelimisha watoto wao, jamaa hawa Waswahili hawakuzitumia.

Hawa ndio maadui wa Uislamu Tanzania

Tunapo kuwa tunajiuliza mhemko wa udini unatoka wapi au nani wameusababisha na kuuasisi si vibaya tukajua maadui wakuu kwa upande wetu waislamu. Ukimjua adui ni rahisi kupambana naye na ni nusu ya ushindi kwenye vita ya kutafuta haki au usawa au kuondoa tunao uita unyanyasaji kwa waislamu au mfumo kristo kama wengine wanavyo penda kuita (Mimi sio muumini wa dhana ya mfumo kristo) maana nimeona wakati wote waislamu wenzangu wakishika nafasi kubwa serikalini, kwenye mashirika ya umma na hata mashirika binafsi. 

Nyerere: Nuru ya amani iliyozimika

“Ugonjwa huu sitapona Watanzania watalia Nitawaombea kwa Mungu”

MIAKA 13 iliyopita Taifa la Tanzania liligubikwa na majonzi  mazito kutokana na kifo cha mwasisi wake, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Rais Nyerere alipokosa maji ya kuoga Kibondo

Mpenzi msomaji wa JAMHURI,  katika toleo lililopita tuliona jinsi ambavyo Mwalimu Nyerere alijizatiti kutetea Muungano na mambo mengine mengi kwa maslahi ya Taifa letu. Sasa endelea na sehemu hii ya mwisho ya makala hiyo…