JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Watanzania tunapaswa kuongeza ‘akili ya fedha’

Mapema Julai mwaka huu, nilikutana na mzee mstaafu kutoka moja ya wilaya za mkoani Iringa. Mzee huyu ambaye ndiyo kwanza amestaafu  ualimu, nilimfahamu kwa njia ya simu kupitia kwa rafiki yangu. Haja ya mzee huyu ilikuwa tukutane nimsaidie kutafuta gari aina ya Hiace anunue.

Trafiki wanakula kwenye daladala Dar es Salaam?

*Baadhi ya madereva, makondakta ni miungu watu

Usafiri wa daladala katika Jiji la Dar es Salaam siku hizi ni mithili ya mfupa unaoelekea kumshinda fisi. Baadhi ya madereva na makondakta ni miungu watu! Sijui wanakula pamoja na askari wa usalama barabarani (trafiki)?

Utaifa hauna dini (4)

Nadhani kila anayesoma maneno haya hii leo, anaweza kuona jinsi Baba wa Taifa alivyodhamiria kujenga nchi ya watu wenye hali ya usawa katika kila nyanja.

Motisun Holding Ltd: Mhimiri wa maendeleo ya Taifa

*Yajipanua hadi mataifa ya Zambia, Uganda

*Watoto wa wafanyakazi wasomeshwa bure

*Watumishi wapewa vifaa ujenzi wa nyumba

*Ni mali ya Watanzania kwa asilimia mia moja

Oktoba 10, mwaka huu, wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, walizuru viwanda vinavyomilikiwa na Kampuni ya Motisun Holdings Limited vilivyopo jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi watishia kuisulubu CCM

Wafanyakazi mbalimbali nchini wameahidi kukisulubu Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao (2015), ikiwa Serikali haitatengua Sheria mpya ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.

Nyerere: Kataeni kukandamizwa

“Watanzania watakuwa ni wajinga na mataahira, kama watakubali kuendelea kukandamizwa na watu wachache katika nchi yao wenyewe….”

Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema hayo kuwahimiza Watanzania kupinga vitendo vya ukandamizaji ndani ya nchi yao.