JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Inawezekana kuzalisha fedha bila kutumia fedha

Watu wengi wamekuwa wakisema na kujiaminisha kauli kama hizi: “Tumia fedha kupata fedha,” “Siwezi kuanza biashara wakati sina fedha,” “Bila chochote ni vigumu kupata kitu,” “Wenye fedha ndiyo wanaofanikiwa,” na nyingine nyingi zinazofanana na hizo.

Nyerere: Paka na panya

“Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni; tatizo ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo… Panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka watajifunga au watafungana kengele shingoni.”

Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, wakati akifafanua jinsi ilivyo vigumu kwa panya kuepuka kukamatwa na paka.

Mjasiriamali na nguvu ya fedha

Katika maisha yangu, ninaamini na kusimamia mambo makubwa matatu – ujenzi wa roho, ujenzi wa familia na ustawi wa kiuchumi. Naamini kuwa mafanikio ya kweli katika nyanja zote za maisha lazima yaanzie rohoni mwa mtu.

Dalili ya kudidimia kwa uongozi bora Afrika

 

TUZO YA MO IBRAHIM KUKOSA MSHINDI

 

Nimesikitishwa na habari za Tuzo ya Mo Ibrahim kukosa mshindi mwaka huu, zilizotangazwa hivi karibuni na Kamati ya tuzo hiyo ambayo ni zawadi yenye thamani kubwa dunaini. Tuzo hiyo ilianzishwa mwaka 2006 na bilionea wa nchini Sudan, Mo Ibrahim, kwa ajili ya marais wastaafu wa nchi za barani Afrika.

 

JKT ni mtima wa Taifa (1)

Nimefurahishwa sana na tamko la Mkuu mpya wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga, alilolitoa Ikulu Septemba 26, mwaka huu, mara tu baada ya kuapishwa kwake kushika wadhifa huo.

Ushindi mgogoro Ziwa Nyasa ni wetu – Membe

*Wazee wataka waruhusiwe watumie ‘nguvu za miujiza’

“Inawezekana shetani kaingia. Huku Tanzania tuna uwezo hata wa kutumia ungo…mimi nimekulia hapa, mpaka ni katikati ya ziwa…Kama ninyi (Serikali) hamna bunduki, wananchi wapo tayari kupigana kwa kutumia fito…Hatutakufa mpaka tuone mwisho wa mgogoro huu, tupo tayari hata kwa kutumia miujiuza yetu,” Haya ni maneno ya  Mzee Anyosisye Mwakenja (80) wa Kijiji cha Matema Beach.