JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Mapya yaibuka Tundu Lissu vs majaji vihiyo

*Yumo aliyeghushi umri, atang’atuka mwaka 2017

*Mwingine ahitimu chuo kikuu na kupewa ujaji

Miezi kadhaa baada ya JAMHURI kuchapisha taarifa ya utetezi wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kuhusu uteuzi wa majaji wasio na sifa, mbunge huyo ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu wa Upinzani na Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, wiki iliyopita alijitokeza tena na kutishia kumshitaki Rais Jakaya Kikwete.

JKT ni mtima wa Taifa (2)

Vijana waliongia baada ya wale wa kwanza walipewa majina mbalimbali, maana kazi yao kubwa ilikuwa kujenga Taifa na si kuziba nafasi katika Jeshi la Ulinzi. Novemba 1964 waliingia vijana zaidi ya 400 na hawa waliitwa “Mkupuo Maendeleo” (Operation Maendeleo). Ndiyo hasa waliofungua kambi mbalimbali za uzalishaji mali katika JKT.

Raha ya garimoshi la Mwakyembe

Kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi duniani, sekta ya usafiri wa reli ni muhimu katika kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Wabunge wajitahidi kuwa makini bungeni

Juhudi za makusudi zinahitajika haraka kunusuru Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupoteza mvuto na heshima mbele ya jamii.

Nyerere: Utegemezi wa CCM

“Kipimo kingine cha CCM ni kwamba hatujaweza kujitegemea kwa fedha. CCM inapata ruzuku kubwa kutoka serikalini, na maana yake ni kwamba inachukua kodi za wananchi wote, wanachama na wasiokuwa wanachama.”

 

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, wakati akihutubia Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa, jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 1990.

Inawezekana kuzalisha fedha bila kutumia fedha (2)

Cha kufahamu ni kwamba, nguvu hizi hazitokei kwa bahati mbaya isipokuwa huamriwa na muhusika mwenyewe. Kadiri unavyouchukia umaskini ulionao unajenga nguvu ya kukutoa hapo. Kadiri unavyojenga hamasa ya kupata fedha ama mafanikio makubwa ndivyo nguvu ya kukufikisha huko inavyojengeka ndani yako. Ukijua unapoelekea ni rahisi kutafuta njia ya kukufikisha huko.