JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti

Naanza maelezo yangu kwa kusema yafuatayo: Msema kweli hukimbiwa na marafiki zake; siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo; nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.

Kinana umeanza vizuri, uendelee, umalize vizuri

Nilikuwa naelekea kukata tamaa kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitakuwa na viongozi wanaokerwa na umaskini unaoendelea kuwanyima Watanzania wengi maendeleo ya kweli.

JKT ni mtima wa Taifa (3)

Nimejaribu kurejea kirefu maneno ya Mwalimu kuonesha uchungu wake kwa wasomi waliosema miili itakwenda, lakini mioyo yao haitakuwa huko National Service.

Maazimio Mkutano Mkuu: Kitanzi kinachoisubiri CCM

*Imeagiza bei za vifaa vya ujenzi zishushwe nchini

*Tofauti ya kipato yaelezwa ikiachwa hivi italeta vurugu

*Ada shule binafsi zidhibitiwe, utozaji dola ukomeshwe

*Yakiri ajira ni bomu, wizara lazima ziandae ajira mpya

*Ushuru na vijikodi vinavyoumiza wananchi vikomeshwe

Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mkutano wake Mkuu wa Nane uliomalizika hivi karibuni mjini Dodoma, kilitoa maazimio ambayo kimeyaeleza kuwa ndiyo dira yake ya ushindi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2014 na Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

Wadau waaswa kuhusu takwimu sahihi

Sekta za umma, binafsi na wadau wa maendeleo kwa jumla, wameshauriwa kuzingatia matumizi bora kuwezesha upatikanaji wa takwimu sahihi na fursa kwa jinsia zote katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Nyangwine: Sijaitelekeza Tarime

*Ajivunia maendeleo aliyowezesha

Mbunge wa Tarime mkoani Mara, Nyambari Nyangwine (CCM), ameibuka na kukanusha tuhuma za kutelekeza jimbo hilo kwa zaidi ya miezi sita mfululizo.