JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (4)

Vyama vikubwa Visiwani vilikuwa ARAB ASSOCIATION, INDIAN ASSOCIATION na AFRICAN ASSOCIATION. Na kutokana na vyama hivyo, vikajazaliwa vyama kama SHIRAZI ASSOCIATION na UMMA PARTY.

Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (5)

Kiongozi mwingine wa tatu wa dini ambaye ni vizuri kumsoma katika falsafa na kauli zake mbele ya Mwenyezi Mungu, ni Mwenyekiti Kamara Kasupa.

Mwaka 2013 tuwe na maono makubwa

 

Nitumie wasaa huu kumimina salamu nyingi za Krismasi kwa wasomaji wetu. Ni jambo la kumshukuru Mungu kuona kuwa tunaelekea ukingoni mwa mwaka 2012 na kujiandaa kuuanza mwaka 2013.

Nyerere: Tuoneshe demokrasia kivitendo

“… ingawa kwa nadharia muundo wa Chama chetu (akimaanisha CCM) ni wa kidemokrasia, lakini katika vitendo hatuonyeshi demokrasia wakati wote na kwa shughuli zetu zote.”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambayo ni sehemu ya wosia wake wa kuitaka CCM ijenge dhana ya kuonesha demokrasia ya kweli kwa vitendo.

UN na jitihada za kuisaidia Tanzania

Tanzania ni nchi tajiri kwa rasilimali, na licha ya pato lake kukua mwaka hadi mwaka, wananchi wake ni maskini.

Nguvu ya rangi katika biashara zetu

Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…