Category: Makala
Ziwa Victoria hatarini, tushirikiane kulinusuru
Tanzania imejaaliwa na Mwenyezi Mungu kuwa na rasilimali lukuki za kila aina. Rasilimali hizi ni pamoja na wanyama, milima, ardhi nzuri, mito, watu, maziwa, ndege, bahari, samaki na madini ya aina mbalimbali.
Mkuu Usalama wa Taifa aking’oka tutapona?
Katika Gazeti la Raia Mwema la Februari 20-26, 2013, kuna makala yenye kichwa cha habari kisemacho “Mkuu wa Usalama wa Taifa Ang’oke”.
Utawala Bora hutokana na maadili mema (4)
Katika “decentralization” kulitokea vituko katika utawala. Mtu kama daktari wa mifugo kasomea mifugo (shahada ya veterinary) eti anateuliwa kuwa Afisa Tawala Mkuu wa Mkoa (Regional Administrative Secretary). Mkuu wa shule ya sekondari anateuliwa kuwa Afisa Utumishi Mkoa (Regional Personnel Officer) na kadhalika, na kadhalika. Utawala wote ukavurugika mara moja.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tuwe makini kuchagua viongozi “Hatari moja ya kuendelea kumchagua mtu yule yule kipindi hata kipindi huweza kuleta hofu na wasiwasi nchini.” Haya ni maneno ya Baba wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Gurdjief: Binadamu huwa anabadilika “Binadamu hawezi…
Njia bora ya kulinda biashara yako
Wiki iliyopita niliandika makala yaliyokuwa na kichwa “Unahitaji gia ya uvumilivu kumudu biashara”. Nilieleza visa kadhaa vilivyonitokea katika harakati za kibiashara. Mamia ya wasomaji kutoka pande mbalimbali za nchi wameonesha kuguswa na yaliyowahi kunitokea.
Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango – (3)
Fikiria maisha ya mijini, vyumba vya kupanga utaishia kulaza watoto wanne katika chumba kimoja, katika kitanda kimoja na ndani ya chandarua kimoja. Lakini pia katika maisha ya vijijini gharama zimepanda hata kama unaishi kwenye nyumba yako.