JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

ASKOFU NZIGILWA:

Moyo wa binadamu uwanja wa mapambano

Wiki iliyopita, JAMHURI imefanya mahojiano maamulu na Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebins Nzigilwa, ambaye ametoa mtazamo na ushauri wake kuhusu matatizo mbalimbali yanayoikabili nchi.

Utawala Bora hutokana na maadili mema (5)

 

Mwaka 1980 Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) , walikuwa na Mkutano wao Mkuu wa Chama katika jeshi. Mkutano ule wa kihistoria ulisimamiwa na Kamisaa Mkuu wa JWTZ na ambaye alikuwa katika Sekretarieti ya Chama – upande wa Oganaizesheni, Hayati Kanali Moses Nnauye, akisaidiwa na kada wa chama, Luteni Jakaya Kikwete Makao Makuu ya Chama.

Nukuu ZA WIKI

Nyerere: Wafanyakazi wasinyonywe, waheshimiwe

“…wafanyakazi wa Tanzania wamelindwa wasinyonywe na matajiri wao, watu binafsi, na hata mashirika ya umma. Kila mfanyakazi apate heshima yake kama binadamu.”

Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere aliyasema haya kukemea unyonyaji dhidi ya wafanyakazi.

Waraka wa uchumi kwa wafanyakazi

Leo nina neno kwa wafanyakazi waliopo katika sekta mbalimbali za umma na za binafsi. Nimeamua kuandika waraka huu wa uchumi kwa wafanyakazi kutokana na sababu kuu tatu. Mosi, uwepo wa mbinyo wa kuongezeka kwa gharama za maisha ikilinganishwa na vipato halisi vya wafanyakazi.

Tunaongoza kwa sikukuu nyingi zisizo na tija

 

Kufanya kazi ndiyo msingi wa maisha yetu ya kila siku, hususan jamii yetu ya Kitanzania ambayo wimbo mkubwa ni ukosefu wa ajira pamoja na ugumu wa maisha unaoongezeka kila kukicha.

Tumeruhusu mauaji ya viongozi wa makanisa

Katika historia, Tanzania hakijatokea kipindi ambacho udini umepewa nafasi kubwa ya kuvuruga amani ya Tanzania kama kipindi hiki.