Category: Makala
Tuache kufyatua maneno
Habari yenye kichwa cha maneno, “Waziri achafua hewa mazishi ya Padri Z’bar” iliyochapishwa Februari 21, 2013, ilinikumbusha agizo la Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa (pichani chini), aliyetuasa akisema “Kama hujafanya utafiti, huna haki ya kuzungumza”.
Wafanyakazi ‘wazembe’ ni msiba kwa ujasiriamali
Mwishoni mwa Februari, wakati nikisafiri kutoka Wilaya ya Mvomero kuelekea Kilombero, nilipofika mjini Morogoro, niliingia kwenye basi linalofanya safari kati ya Morogoro na Ifakara.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tushirikishe watu katika maendeleo
“Kama maendeleo ya kweli ni kuchukua mahali, watu wanapaswa kushirikishwa.”
Hii ni sehemu ya maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika kitabu chake cha Uhuru na Maendeleo, 1973.
Uchumi ndiyo lugha ya Afrika Mashariki
Wiki mbili zilizopita nimekuwa nikiandika waraka wa kiuchumi kwa wafanyakazi. Kwa ujumla wake, waraka huo utaendelea hadi sehemu ya 10. Kutokana na urefu huo, nimepanga kutouleta kwa mfululizo wa wiki zinazofuatana, badala yake nitakuwa ninauleta kwa wiki tofauti, mwaka huu.
Tunataka Katiba halisi ya kudumu
Kama tujuavyo, hivi sasa Taifa letu liko katika mchakato wa kutafuta Katiba mpya ya nchi.
Katiba tunayotafuta sasa itakuwa nafasi ya katiba ya kudumu iliyoanza kutumika mwaka 1977. Katiba ya nchi tunayotaka kuachana nayo imedumu kwa mbinde kwa sababu ina kasoro nyingi zilizoanza kupigiwa kelele tangu mwaka 1992, wakati Tanzania ilipoingia kwenye mfumo wa vyama vingi.
Uzalendo wa Dk. Reginald Mengi
*Asaka ufumbuzi wa matatizo ya Watanzania nje ya nchi
*Ateta na mabalozi wa nchi mbalimbali, waonesha nia
Hakika juhudi zake hizi zinadhihirisha jinsi alivyo mzalendo mwenye dhamira ya kuona uchumi wa nchi unakua kama si kustawi, na maisha bora yanawezekana kwa kila Mtanzania.