JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Kamati ya Pinda imalize mgogoro wa uchinjaji

Mwanzoni mwa mwaka huu, uliibuka uhasama mkubwa uliohusisha pande mbili za dini ya Kiislamu na Kikristo mkoani hapa. Uhasama huu ulianza kama ‘mchicha’ kwa viongozi wa pande hizi mbili kuzuliana visa kutokana na nani au dini gani inastahili kupewa heshima ya kuchinja wanyama kwa ajili ya kitoweo.

Udini sasa nongwa (3)

Zanzibari kuna waislamu wengi na wakristo wachache sana, lakini katika uteuzi mbalimbali imewahi au imepata kusikika jina la mkristo likiteuliwa? Wakristo wa kule si wanahaki zile zile za ubinadamu na za uraia? Mfumo upi hapo kandamizi -ule Mfumo Kristo unaoogopwa upande wa Bara kama kandamizi kwa dini ya kiislamu au Mfumo Islam unaokandamiza kila dini isipokuwa uislamu kule Zanzibar?

Polisi wadhibiti uhalifu

 

Hivi karibuni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Diwani Athuman, ameitisha mkutano na waandishi wa habari na kuwafahamisha kuwapo kwa mtandao mkubwa unaojihusisha na uporaji na mauaji ya watu.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Elimu inayotolewa ituwezeshe kujiamini

“Elimu inayotolewa lazima ijenge akili ya kuuliza, uwezo wa kujifunza na uwezo wa kujiamini kama raia huru na sawa katika jamii.”

Maneno haya ni ya Mwasisi na Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Udini sasa nongwa (2)

Ningependa nioneshe pia kuwa wapo wasomi wasiojiamini kabisa ingawa wana shahada za vyuo viikuu. Kama si upotoshaji wa kukusudia, basi hawana elimu (not liberated mentally), ni wajinga ingawa wamesoma (have been to school but not educated).

Tatizo la Kusini wanaamini wanaonewa

Ninatoka kusini mwa Tanzania  mkoani Mtwara. Matukio yaliyotokea humo hasa kuanzia Desemba 2012 hapana shaka yamewashtua na kuwashangaza watu wengi.