JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Uchumi ukikua, usiishie mifukoni mwa wabunge

 

Nimeishawahi kusema kwamba Watanzania tuna kumbukumbu dhaifu, kwa maana kwamba hatukumbuki jana na wala hatutaki kujua nini kitakachotokea kesho.

Lissu: Tume ya Katiba ni ulaji

*Asema wanatumbua fedha, watengewa fungu la Ukimwi

Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu, wiki iliyopita aliwasilisha bungeni maoni ya Kambi hiyo, na kueleza namna Tume ya Mabadiliko ya Katiba inavyofuja fedha.

Bima: Mahakama imechukua milion 826

Shirika la Bima la Taifa (NIC) limetoa ufafanuzi wa malipo ya Sh milioni 826 kwa mdai wake, S & C Ginning Co. Limited. Mkurugenzi Mtendaji wa NIC, Justine Mwandu, amesema katika majibu ya maandishi kwa Gazeti la JAMHURI kuwa wamelipa fedha hizo kutekeleza amri halali ya Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara.

Tuwakubali Ili wakubalike

Vipaji vipo kila kona ya dunia, lakini ili kipaji kikue ni lazima kwanza kikubalike nyumbani kabla hakijakubaliwa ugenini. Kipaji hakipatikani shuleni, kipaji unazaliwa nacho na unakua na kutembea nacho, na ili kipaji kionekane na watu wengine unatakiwa ukioneshe.

Bunge lisifanyie mzaha matumizi ya fedha za rada

Nianze kwa kuwaomba kila mbunge anayetambua kuwa amechaguliwa na wanyonge na maskini wa Tanzania ili atetee maslahi yao na ya watoto wao, asome kwa makini makala haya kisha achukue hatua.

Je, Mkristo akichinja ni haramu?-5

Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya nne ya makala haya yanayohoji usahihi juu ya nani anastahili kuchinja. Leo tunakuletea sehemu ya tano na ya mwisho ya makala haya. Endelea….

Ndivyo itakavyokuwa hata kwenye kitoweo kingine na serikali itakusanya kodi zake kwa uwazi zaidi kuliko ilivyo sasa ambapo huenda wengine wanachinjia nyumbani kwao kwa siri halafu wanapeleka maeneo ya biashara na  kuikosesha kodi serikali.