Category: Makala
Gwiji wa ujangili Arusha atambuliwa
Mtuhumiwa mkuu wa ujangili katika Hifadhi za Taifa za Serengeti, Tarangire na katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, aliyetiwa mbaroni wiki iliyopita, ametambuliwa kuwa ni Frank William (32) au maarufu kama “Ojungu”.
Miundombinu duni inachangia umaskini
Miundombinu (Infrastructures) duni inachangia kukuza umaskini wetu. Watu wanazidi kuwa maskini kwa vile miundombinu iliyopo haileti unafuu wa kupunguza gharama za usafiri kwa abiria na mizigo.
Sisi Waafrika weusi tukoje? (5)
Ili Waafrika weusi sisi tupate maendeleo katika nchi zetu, hatuna budi kujitafiti na kujitambua upungufu wetu wote. Upungufu wa kutamani kuwa kama Mzungu au Mwarabu haujaondoka katika fikra zetu ingawa wakoloni hawapo; lakini kwa mazoea yetu sisi Mzungu ni wa kuogopwa tu.
KAULI ZA WASOMAJI
Serikali isiwadhulumu wastaafu
Ukweli ni kwamba ni laana kubwa kwa Serikali kudhulumu malipo ya fedha za wazee wastaafu, walioitumikia nchi hii katika nyanja mbalimbali.
Msomaji
* **
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Umaskini wa fikra mbaya sana
“Hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa mawazo (fikra), ni umaskini mbaya sana. Mtu mwenye akili akikwambia neno la kipumbavu ukalikubali, anakudharau.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
***
Makali ya TBS yawatafunawenye viwanda feki
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limedhamiria kueneza uelewa, na kukuza matumizi ya viwango na kanuni za udhibiti wa ubora katika sekta za viwanda na biashara.