Category: Makala
HICHILEMA… Mpinzani aliyeingia Ikulu bila kinyongo
Dar es Salaam Na Mwalimu Samson Sombi Mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa Afrika bado unaendelea kupita katika milima na mabonde tangu kurejeshwa miaka ya 1990. Demokrasia ni uhuru wenye mipaka na sheria wa serikali iliyowekwa madarakani na…
Dar es Salaam nzima kuwa ya ‘mwendokasi’ ifikapo 2025/26
*Barabara ya Segerea, Tabata hadi mzunguko wa Kigogo nayo imo Dar es Salaam Na Joe Nakajumo Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DAR RAPID TRANSIT – DART) ni taasisi ya serikali chini ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali…
Maneno yametosha tuiokoe Ngorongoro
Kama ilivyotarajiwa, manabii wa vurugu za Loliondo na Ngorongoro kwa ujumla wao wamejitokeza kupaza sauti za uchonganishi wakijitahidi kuhalalisha uongo. Kwa wanaojua habari ya eneo hili hawashangai, maana kelele za ‘tunaonewa, tunapokwa ardhi yetu, tunapigwa nk’ ni filimbi nzuri sana…
Waziri Nape, ukweli kuhusu ‘vifurushi’
Bashir Yakub Ndugu yangu Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, tatizo liko hapo TCRA. Hizi kampuni za simu zinafanya biashara, hivyo zinaweza kufanya lolote zisipopata usimamizi. Tunahitaji kanuni za ‘vifurushi’, kama vifurushi, kutoka hapo TCRA ili…
Sababu mazungumzo ya Marekani, Iran kusuasua
Na Nizar K Visram Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Antonio Guterres alitangaza hivi karibuni kuwa Iran imechelewa kulipa mchango wake, kwa hiyo haki yake ya kupiga kura inasimamishwa. Mwakilishi wa Iran katika UN alieleza kuwa uchelewashaji huo umetokana…
Mambo ya msingi yasiyozungumzwa kwenye siasa za maridhiano Afrika
KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Kumekuwa na hoja kutoka kwa wanasiasa na wadau wa siasa kuhusu kutaka maridhiano kutoka pande zote; wa upinzani na chama tawala, na hadi inaingia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na madai hayo ya wanasiasa…