Category: Makala
Zuio la picha maeneo haya si la haki
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, alipoutangazia umma kufunguliwa kwa Daraja la Tanzanite, nikarejea kwenye kisa kilichotokea siku ya uzinduzi wa ujenzi wake. Siku ya uwekaji wa jiwe la msingi mwaka 2018, Rais John Magufuli, na Spika Job…
Korea Kaskazini yajaribu makombora
Pyongyang Korea Kaskazini Korea Kaskazini imeonyesha picha inazodai kuwa zimechukuliwa kutoka katika jaribio lao la kurusha kombora lenye nguvu kubwa zaidi kuwahi kufanyika katika kipindi cha miaka mitano. Picha hizo ambazo si za kawaida zimechukuliwa kutoka anga za mbali zikionyesha…
HICHILEMA… Mpinzani aliyeingia Ikulu bila kinyongo
Dar es Salaam Na Mwalimu Samson Sombi Mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa Afrika bado unaendelea kupita katika milima na mabonde tangu kurejeshwa miaka ya 1990. Demokrasia ni uhuru wenye mipaka na sheria wa serikali iliyowekwa madarakani na…
Dar es Salaam nzima kuwa ya ‘mwendokasi’ ifikapo 2025/26
*Barabara ya Segerea, Tabata hadi mzunguko wa Kigogo nayo imo Dar es Salaam Na Joe Nakajumo Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DAR RAPID TRANSIT – DART) ni taasisi ya serikali chini ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali…
Maneno yametosha tuiokoe Ngorongoro
Kama ilivyotarajiwa, manabii wa vurugu za Loliondo na Ngorongoro kwa ujumla wao wamejitokeza kupaza sauti za uchonganishi wakijitahidi kuhalalisha uongo. Kwa wanaojua habari ya eneo hili hawashangai, maana kelele za ‘tunaonewa, tunapokwa ardhi yetu, tunapigwa nk’ ni filimbi nzuri sana…
Waziri Nape, ukweli kuhusu ‘vifurushi’
Bashir Yakub Ndugu yangu Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, tatizo liko hapo TCRA. Hizi kampuni za simu zinafanya biashara, hivyo zinaweza kufanya lolote zisipopata usimamizi. Tunahitaji kanuni za ‘vifurushi’, kama vifurushi, kutoka hapo TCRA ili…