Category: Makala
Bila uwajibikaji Tanzania tutakwama (1)
Baada ya kusoma mengi katika magazeti na kuona kwenye runinga namna lile jengo la ghorofa 16 lilivyoporomoka, mimi, huenda na wengine wengi. tumeingiwa na wasiwasi.
AMREF yajizatiti kuboresha afya ya mama na mtoto Simiyu
Dalili za kufikia mafanikio ya kuboresha afya ya kina mama na watoto katika Mkoa mpya wa Simiyu, zimezidi kuonekana baada ya Shirika la Tafiti na Dawa Afrika (AMREF) kuwakutanisha wadau huduma za afya.
KAULI ZA WASOMAJI
Spika anachangia fujo bungeni
Fujo bungeni zinachangiwa na Spika Anne Makinda kutosimamia vizuri haki, kanuni na sheria za Bunge. Hataki wabunge wa kambi ya upinzani wawakosoe wabunge wa chama tawala. Hii haileti ladha.
Mdau wa JAMHURI, Dodoma
Tumeamua kujiridhisha na fedha za ‘uongo’
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa safu hii ya Anga za Uchumi na Biashara, ambayo haikuwa hewani kwa takribani wiki saba.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Uanachama CCM ni hiari
“Uanachama wa CCM ni wa hiari. Kuwa na kadi ya CCM si sharti la kupata kazi, au huduma ya umma, au leseni ya biashara, au haki yoyote ya raia wa Tanzania.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Migiro hakuhujumu mchakato wa katiba
Kama tujuavyo, Watanzania tuko katika mchakato wa kutafuta Katiba mpya ya nchi yetu. Katika kipindi hiki, vyama vya siasa vinatoa maoni mbalimbali kuhusu mchakato huo. Nacho Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hakikubaki nyuma.
Kwanza niwapongeze ndugu zetu wa Chadema kwa mafanikio makubwa wanayopata katika kukusanya nyaraka nyeti.