JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

WACHONGA VINYAGO MWENGE:

Hazina ya sanaa, utalii, utamaduni isiyovuma

*Wapo wanaoongozwa na mawingu kuchonga mashetani

*Wamarekani wapendelea ‘mashetani’, Waingereza ‘wanyama’

*Baadhi watumia ‘calculator’ kuwasiliana na wateja Wazungu

*Walilia soko la uhakika, waishutumu Serikali kuwapa kisogo

Umewahi kuzuru kituo cha wachongaji na wauzaji vinyago cha Mwenge, jijini Dar es Salaam? Kama bado, basi fanya hima ufike ujionee hazina ya sanaa, utalii na utamaduni wa Kitanzania iliyotamalaki, ingawa haivumi.

Biashara inahitaji ramani sahihi

Wiki iliyopita wakati nikiangalia taarifa ya habari katika moja ya vituo vya televisheni hapa Tanzania, nilikutana na habari kuhusu wakulima wa mpunga walioandamana hadi Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

KAULI ZA WASOMAJI

Stendi ya Nyegezi ni jehanamu

Stendi ya mabasi ya Nyegezi, Mwanza ni mithili ya jehanamu, utapeli na usumbufu vimekithiri. Kwanini stendi za Tanzania zimeachwa kuwa vituo vya uhalifu wa kila aina, huku polisi wapo? Uchunguzi zaidi ufanyike kusaidia wananchi.

Rwambali F, Mwanza

Wanawake ni injini ya ujasiriamali

  Wakati fulani nilikuwa nikisikiliza wimbo ulioimbwa na mwanamuziki nguli, Luck Dube, na ukatokea kunivutia sana kutokana na maudhui yake.   Ndani ya kibao hicho, Dube anaeleza namna wanawake wanavyopambana na maisha kupitia kujituma kuhakikisha familia zao zinastawi vizuri. Hata…

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Jeshi letu ni la Kizalendo

“Jeshi letu haliwezi kuwa Jeshi la mamluki, ni Jeshi la Kizalendo. Matumaini yangu ni kwamba Jeshi letu litaendelea kulinda na kutetea misingi mikuu ya Azimio la Arusha.”

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambaye pia ni mwasisi wa Azimio la Arusha.

Wabunge wa CCM wameshindwa kazi?

Sina sababu yoyote ya kuwavunjia heshima wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Lakini katika enzi hizi za ukweli na uwazi sioni, sababu ya kusita kuzungumzia masuala nyeti kwa ukweli na uwazi. Lengo langu ni kuwaomba waone ugumu wa uchaguzi wa mwaka 2015.