Category: Makala
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria
“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
- Majaliwa: Serikali inatambua mchango wa wadau mbalimbali katika elimu ya ufundi stadi
- Waziri Mkuu mgeni rasmi maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani
- Dodoma,Mwanza kunufaika na ujenzi wa maabara zitakazo ongeza ufanisi wa vipimo vya sampuli
- Madini ya Bati fursa zipo nyingi njooni – Mkopi
- Kamati ya Bunge yakagua mradi wa nyumba NSSF Mtoni Kijichi, Kikwete asifu ustahimilivu NSSF
Habari mpya
- Majaliwa: Serikali inatambua mchango wa wadau mbalimbali katika elimu ya ufundi stadi
- Waziri Mkuu mgeni rasmi maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani
- Dodoma,Mwanza kunufaika na ujenzi wa maabara zitakazo ongeza ufanisi wa vipimo vya sampuli
- Madini ya Bati fursa zipo nyingi njooni – Mkopi
- Kamati ya Bunge yakagua mradi wa nyumba NSSF Mtoni Kijichi, Kikwete asifu ustahimilivu NSSF
- Israel yafanya mashambulizi Gaza ikidai kuwalenga Hamas
- Rwanda yavunja uhusiano na Ubelgiji
- Soma Gazeti la Jamhuri Machi 18 -24, 2025
- Rais Samia : Ardhi yote ni mali ya umma ya Watanzania, Serikali kuilinda
- Picha za matukio mbalimbali Wasira akiwa kwenye ziara
- JAB kusimamia pia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi
- ‘Kipaji pekee hakitoshi katika kufanya kazi za kihabari’
- Mabingwa Lina PG Tour 2024 kushuka dimbani kesho, michuano ya gofu Dubai
- Ni maono ya Dk Samia wananchi wote wapate umeme -Kapinga
- COSTECK imetenga milioni 600 kutekeleza miradi minne ya ubunifu