Category: Makala
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Vyama viwasaidie wananchi kujiendeleza
“Lazima chama [cha siasa] kiwasaidie wananchi kujiendeleza na kupanua mawazo yao kwa kuwaelimisha, kwa kuwaunganisha kwa hiari katika shughuli zao za kujitegemea, na kadhalika.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
NAONGEA NA BABA
Nani anaharibu nchi yetu?
Naikumbuka siku uliyofariki Mwalimu. Nilikuwa mdogo, mwanafunzi pale Sekondari ya Baptist. Siku uliyofariki Baba wa Taifa letu, na siku kadhaa zilizofuata, kulijaa utulivu wa hali ya juu, lakini utulivu huo haukudumu maana palianza kusikika vilio vya hapa na pale.
Kauli za wanasiasa zitaliangamiza taifa
Masuala yoyote yanayohusu taifa letu yasipoendeshwa kwa mtazamo chanya, hasa wa kifikra na kivitendo, tusitarajia kuwa na taifa lenye amani, upendo na umoja – tunu ambazo huzaa maendeleo ya taifa lolote duniani.
Utajiri wa Loliondo na laana yake (1)
Nani wanafadhili mgogoro huu? Nani wananufaika kwa mgogoro huu? Nani anayesema kweli? Haya ni mambo ambayo nitayajadili kwenye mfululizo wa makala haya ambayo naamini yataendelea kutoka kwa wiki kadhaa. Soama sasa.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (3)
Umuhimu Wa Misitu Katika Maeneo ya Vijiji
Tanzania Bara ina vijiji vingi na kwa bahati nzuri vipo vijiji vyenye maeneo mazuri ya misitu ya asili na vingine vinayo, lakini imeharibiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na shughuli mbalimbali za kibinadamu zisizo endelevu.
Kilio cha elimu kwa watoto wa maskini
Desemba 20, 1956 Mwalimu Julius Nyerere akiwa Rais wa TANU, alihutubia Umoja wa Mataifa (Baraza la Udhamini) kwa mara ya pili. Alihutubia Umoja huo kwa mara ya kwanza Machi 7, 1955 akiwa mwalimu wa shule ya sekondari ya Mtakatifu Francis, Pugu, nje kidogo ya mji wa Dar es Salaam.