JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Mashabiki wa upinzani wajitazame upya

Tanzania ya leo inafuata mfumo wa vyama vingi. Katikati ya mfumo wa vyama vingi Watanzania wamegawanyika katika makundi makuu matatu.

fikRA YA HEKIMA

Watanzania na imani potofu ziara ya Obama

Ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama, hapa Tanzania imenilazimu kuleta mada hii mapema tofauti na nilivyokusudia awali. Watanzania wengi wamezungumza ya moyoni mwao kuhusu ugeni huu.

FASIHI FASAHA

Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4

Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.

KAULI ZA WASOMAJI

Gharama KCMC zinatisha

Serikali inajitahidi kuboresha huduma kwa wananchi wenye kipato cha chini, lakini baadhi ya hospitali haziko kwa ajili ya huduma za tiba ila ni biashara tu! Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu gharama za sasa za KCMC kama sio kufa kwa wagonjwa?

Mtanzania mzalendo, Moshi

Tandala wakubwa waibeba Ruaha

Hakika kuamini ni kuona. Sikupata kuamini uwepo wa tandala wakubwa hapa Tanzania hadi siku nilipozuru Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (RUNAPA) na kujionea aina hiyo ya wanyamapori.

Unaweza kuzalisha fedha za kutosha

Wiki iliyopita niliandika makala yenye kichwa “Imani yako inaakisi fedha zako.” Kama ilivyo ada nimepokea mirejesho mingi kwa barua pepe, simu za miito na ujumbe mfupi. Wasomaji wamekuwa na mitazamo tofauti – wengine wakinipongeza na wengine wakionesha dukuduku.