Category: Makala
Mashabiki wa upinzani wajitazame upya
Tanzania ya leo inafuata mfumo wa vyama vingi. Katikati ya mfumo wa vyama vingi Watanzania wamegawanyika katika makundi makuu matatu.
fikRA YA HEKIMA
Watanzania na imani potofu ziara ya Obama
Ziara ya Rais wa Marekani, Barack Obama, hapa Tanzania imenilazimu kuleta mada hii mapema tofauti na nilivyokusudia awali. Watanzania wengi wamezungumza ya moyoni mwao kuhusu ugeni huu.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4
Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.
KAULI ZA WASOMAJI
Gharama KCMC zinatisha
Serikali inajitahidi kuboresha huduma kwa wananchi wenye kipato cha chini, lakini baadhi ya hospitali haziko kwa ajili ya huduma za tiba ila ni biashara tu! Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu gharama za sasa za KCMC kama sio kufa kwa wagonjwa?
Mtanzania mzalendo, Moshi
Tandala wakubwa waibeba Ruaha
Hakika kuamini ni kuona. Sikupata kuamini uwepo wa tandala wakubwa hapa Tanzania hadi siku nilipozuru Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (RUNAPA) na kujionea aina hiyo ya wanyamapori.
Unaweza kuzalisha fedha za kutosha
Wiki iliyopita niliandika makala yenye kichwa “Imani yako inaakisi fedha zako.” Kama ilivyo ada nimepokea mirejesho mingi kwa barua pepe, simu za miito na ujumbe mfupi. Wasomaji wamekuwa na mitazamo tofauti – wengine wakinipongeza na wengine wakionesha dukuduku.