JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Uganda yaamuriwa kuilipa DRC mabilioni

Na Nizar K Visram Mahakama ya Kimataifa (ICJ) iliyo Uholanzi imeihukumu Uganda kuilipa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) dola za Marekani milioni 325 (sawa na zaidi ya Sh bilioni 752) kama fidia kutokana na majeshi yake kuingia DRC mwaka…

Keki ya taifa inapoipindua nchi 

DODOMA Na Javius Byarushengo  Januari 22, 2022, jeshi la Burkina Faso lilifanya mapinduzi baridi kwa kumuondoa madarakani Roch Kabore, Rais aliyechaguliwa kidemokrasia. Kama ilivyo ada, yanapofanyika mapindiuzi, hupingwa kila kona ya dunia huku Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika…

Maboresho yatakavyochochea ukuaji sekta ya mawasiliano 

• Visimbuzi vyote sasa ruksa kubeba chaneli za bila kulipia • Chaneli za televisheni za kulipia ruksa kubeba matangazo  • Punguzo la ada ya leseni kuleta neema kwa watoa huduma, watumiaji Dodoma  Na Mwandishi Wetu Katika kuboresha mazingira ya utoaji…

‘Wanaobeza uchifu hawaijui Tanzania’ 

Bagamoyo Na Mwandishi Wetu  Kwa Mtanzania halisi anayebeza hadhi za machifu au watemi atakuwa mgeni au hajaisoma vizuri historia ya Tanganyika ya kale kuelekea uhuru na mchango uliotolewa na machifu katika kukijenga Chama cha ukombozi cha TANU. Kuwapuuza machifu hao…

Tunatenda makosa ya elimu tukidhani tuko sahihi

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Mara zote kumekuwapo na mjadala wa elimu hapa nchini hasa katika kupima ubora wake huku kukiwa na makundi tofauti yanayotoa maoni. Wapo wanaosema elimu yetu imeshuka na kuna haja ya kubadili mitaala na wengine wanaona kuwa…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (2)

Dar es Salaam Na Mwl. Paulo S. Mapunda Wiki iliyopita tuliona namna ambavyo shetani alifanikiwa kumrubuni binadamu na kuharibu mtazamo (mindset) wake. Tuendelee… Shetani akafanikiwa kumshawishi binadamu amuasi Mungu, alilitenda hilo kwa kuziharibu programu zote ambazo Mungu alizisuka na kuziweka…