JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Maboresho yatakavyochochea ukuaji sekta ya mawasiliano 

• Visimbuzi vyote sasa ruksa kubeba chaneli za bila kulipia • Chaneli za televisheni za kulipia ruksa kubeba matangazo  • Punguzo la ada ya leseni kuleta neema kwa watoa huduma, watumiaji Dodoma  Na Mwandishi Wetu Katika kuboresha mazingira ya utoaji…

‘Wanaobeza uchifu hawaijui Tanzania’ 

Bagamoyo Na Mwandishi Wetu  Kwa Mtanzania halisi anayebeza hadhi za machifu au watemi atakuwa mgeni au hajaisoma vizuri historia ya Tanganyika ya kale kuelekea uhuru na mchango uliotolewa na machifu katika kukijenga Chama cha ukombozi cha TANU. Kuwapuuza machifu hao…

Tunatenda makosa ya elimu tukidhani tuko sahihi

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Mara zote kumekuwapo na mjadala wa elimu hapa nchini hasa katika kupima ubora wake huku kukiwa na makundi tofauti yanayotoa maoni. Wapo wanaosema elimu yetu imeshuka na kuna haja ya kubadili mitaala na wengine wanaona kuwa…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (2)

Dar es Salaam Na Mwl. Paulo S. Mapunda Wiki iliyopita tuliona namna ambavyo shetani alifanikiwa kumrubuni binadamu na kuharibu mtazamo (mindset) wake. Tuendelee… Shetani akafanikiwa kumshawishi binadamu amuasi Mungu, alilitenda hilo kwa kuziharibu programu zote ambazo Mungu alizisuka na kuziweka…

Zuio la picha maeneo haya si la haki

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, alipoutangazia umma kufunguliwa kwa Daraja la Tanzanite, nikarejea kwenye kisa kilichotokea siku ya uzinduzi wa ujenzi wake. Siku ya uwekaji wa jiwe la msingi mwaka 2018, Rais John Magufuli, na Spika Job…

Korea Kaskazini yajaribu makombora

Pyongyang Korea Kaskazini Korea Kaskazini imeonyesha picha inazodai kuwa zimechukuliwa kutoka katika jaribio lao la kurusha kombora lenye nguvu kubwa zaidi kuwahi kufanyika katika kipindi cha miaka mitano. Picha hizo ambazo si za kawaida zimechukuliwa kutoka anga za mbali zikionyesha…