JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Ustawi wako kiuchumi unategemea fikra yako

 

 

Watanzania (na wanadamu wengine duniani kote) nyakati hizi; tunaishi kwenye zama zenye misongo mikubwa ya kimaisha; kubwa likiwa ni tatizo la kiuchumi.

Utajiri wa Loliondo na laana yake (Hitimisho)

Sehemu iliyopita, Mwandishi Wetu alieleza Kamati iliyoundwa na CCM kuchunguza mgogoro wa Loliondo. Sehemu hii ya nne na ya mwisho, anaeleza ubatili wa Kamati ya Nchemba. Endelea…

JAMHURI YA WAUNGWANA

Mawazo yametuama kwenye bodaboda

Tanzania haikosi mambo yanayoibua mijadala. Tukimaliza moja, lazima litaibuka jingine. Tumekuwa Taifa la mijadala ambayo mingi haina tija.

KONA YA AFYA

Vidonda vya tumbo na hatari zake (6)

Katika sehemu ya tano ya makala haya yanayoelezea vidonda vya tumbo na hatari zake, Dk. Khamis Zephania, pamoja na mambo mengine alizungumzia maisha na kazi ya kiumbe kinachofahamika kama H. Pylori ambacho huishi ndani ya tumbo la binadamu. Sasa endelea kumfuatilia katika sehemu hii ya sita…

Katiba mpya iakisi uzalendo (2)

Sehemu iliyopita, mwandishi alieleza hatari ya kuwa na uraia wa nchi mbili, akisema haufai. Pia akataka wananchi wafikirie kiuzalendo Katiba yetu na iwe kweli ya Kiafrika na hasa hasa ya Kitanzania. Endelea…

Funga ya Ramadhan, hukumu, fadhila, adabu zake

Utangulizi

Sifa zote njema zinamstahikia Allah (Subhaanahu wa Ta’ala) na sala na salamu zimfikie Mtume wake (Swalla Allahu alayhi Wasallam) pamoja na ndugu na maswahaba zake.