JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Maghoba: Tanzania isipuuze vitisho vya Kagame – Hitimisho

Wiki iliyopita, sehemu ya kwanza ya makala haya pamoja na mambo mengine, mwanajeshi na mbunge mstaafu, Frank Maghoba, alieleza mtazamo wake kutokana na kauli ya vitisho inayodaiwa kutolewa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame dhidi ya Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Sasa endelea na sehemu hii ya mwisho…

Chanzo cha msuguano

Inaelezwa kuwa msuguano huo baina ya Rwanda na Tanzania ulianza kujitokeza siku chache baada ya kumalizika kwa kikao cha viongozi wa Nchi za Maziwa Makuu, kilichohudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, chini ya uenyekiti wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.

Sitta aache kumchafua Edward Lowassa

Siku zote napenda kufuatilia siasa za Tanzania. Ni siasa hizi za kuchafuana. Siasa za kuchafuana si ngeni katika jamii yetu. Mtu akimwona mwenzake kazidi kwa jambo jema katika jambo fulani, basi atamchafua ili jina lake lionekane kuwa si kitu.

FASIHI FASAHA

Miaka 50 hakuna maendeleo! – 2

Wiki iliyopita katika makala haya nilikumbusha vitu vinne: Ardhi, watu, siasa safi na uongozi bora jinsi vilivyoweza kuleta maendeleo ya nchi na watu katika elimu, afya, siasa na uchumi, pamoja na kujenga umoja na mshikamano wa Watanzania.

Tunahitaji ujasiriamali wa mnyororo

Wiki iliyopita wajasiriamali wawili marafiki zangu wa muda mrefu walinitembelea ofisini, mtaa wa Uhuru, mjini Iringa na tukapata wasaa wa kuzungumza kwa kirefu kuhusu mienendo ya biashara katika mazingira ya sasa.

KAULI ZA WASOMAJI

Nasikitika vijana kukosa kazi

Ninasikitika kuona vijana wengi wasomi hapa Tanzania wakikosa kazi kwa muda mrefu baada ya kuhitimu masomo. Mikopo inayotolewa hairudishwi kwa wakati kwa sababu vijana hawana vyanzo vya mapato. Hivyo serikali itutafutie ufumbuzi wa tatizo hili kwa kasi, nguvu na ari mpya ili maisha bora kwa kila Mtanzania yapatikane.

 

Salim Habib, Morogoro

0652 054 343

Funga ya Ramadhani, hukumu, fadhila, adabu zake – 3

Katika sehemu ya pili ya makala haya, Sheikh Dk. Ibrahim Ghulaam, alizungumzia nyudhuru za funga, nguzo za funga, unavyothibiti kuingia Mwezi wa Ramadhani na yanayobatilisha funga. Sasa mfuatilie zaidi katika sehemu hii ya tatu…