Category: Makala
Ponda naye anatafuta huruma ya waumini?
Mtakumbuka kuwa Agosti 10, mwaka huu, siku ya Idd Pili, iliisha vibaya kwa Katibu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda. Siku hiyo katika simu yangu uliingia ujumbe mmoja kutoka kwa watu zaidi 25. Ujumbe huo ulisomeka hivi ‘Sheikh Issa
Ponda amepigwa risasi Morogoro, wataarifu waumini wengine kumuombea na kukemea mashambulizi ya silaha dhidi yake’.
NUKUU ZA WIKI
Julius Nyerere: Tujifunze kusikiliza hoja za wengine
“Hatuna budi, hasa katika majadiliano na mazungumzo yanayohusu jumuiya, tujifunze kusikiliza hoja zilizotolewa na wenzetu, na kuzijibu kwa kuzikubali au kuzikataa, bila kujali kama aliyezitoa ni rafiki au si rafiki.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanganyika na baadaye Tanzania.
Dk. Mwakyembe sibipu, nakupigia mheshimiwa
Halo! Ni matumaini yangu kuwa uko hewani na unanisikia mheshimiwa. Nakuomba univumilie nimejiunga na mtandao wa Jamhuri kwa kuwa Voda, Tigo, Airtel na Zantel wameniambia salio langu halitoshi kuniwezesha niwe hewani kwa muda niutakao.
KONA YA AFYA
Misitu inavyoinufaisha Nanjilinji ‘A’ (3)
Mafanikio yaliyopatikana
Kijiji Nanjilinji ‘A’ kimedhihirisha kuwa iwapo wanavijiji watajipanga vizuri na kusimamia matumizi ya rasilimali ardhi na misitu ya asili katika vijiji, inawezekana kuboresha maisha yao. Kwa mtazamo wangu, Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ kimekuwa mfano mzuri wa kuigwa na vijiji vingine vyenye rasilimali misitu, lakini misitu hiyo haitumiwi ipasavyo kwa faida ya wanakijiji. Kwa kipindi cha mwaka 2010/2011 kijiji kwa kushirikiana na MCDI kiliweza kupata soko la kuuza bidhaa za misitu hasa zitokanazo na mti aina ya mpingo.
JAMHURI YA WAUNGWANA
Kwa mwaka Mtanzania hafanyi kazi kwa siku 140!
Makala yangu ya wiki iliyopita ya “Wakati mwingine Wakristo wanaanzisha chokochoko”, imepokewa kwa hisia tofauti na wasomaji wa safu hii.
Makala ililenga kupinga msimamo wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) wa kutaka Jumapili isitumike kwa kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa kama sehemu ya kupata Katiba mpya.
Mapambano dhidi ya wauza ‘unga’ ni mzaha mtupu
Nazungumzia Serikali inayoendesha mapambano dhidi ya dawa za kulevya. Nionavyo mimi ni mzaha mtupu. Ni sawa na kukumbuka kujifunika shuka wakati kumeshakucha.