Category: Makala
Yaliyojiri mkutano wa EU, AU Ubelgiji
Na Nizar K Visram Wakuu wa nchi za Umoja wa Ulaya (EU) na Umoja wa Afrika (AU) walikutana mjini Brussels, Ubelgiji, Februari 17 na 18, mwaka huu. Viongozi 40 wa nchi na serikali za Afrika na viongozi 27 wa Ulaya…
Ndoa kuvunjika si sababu ya kukosa mgawo wa mali
NA BASHIR YAKUB Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ikiwa mmoja wa wanandoa aliyesababisha ndoa kuvunjika kama anastahili mgawo wa mali. Mfano, mwanamke katika ndoa anaanzisha chokochoko makusudi ili ndoa ivunjike apate mgawo wa mali ili aendelee na maisha yake. Au mwanamume…
Ufaulu Hisabati bado ni tatizo
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Mchakato wa utekelezaji wa sera ya Tanzania ya viwanda unapaswa kuanzia shuleni na vyuoni kwa kuwaandaa wahitimu katika ngazi mbalimbali za elimu. Ni lazima kutekeleza sera hiyo kwa vitendo baada ya mafunzo na…
Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (4)
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Paulo Mapunda Hapo zamani Mungu alikwisha kufunua kupitia ndoto ya Nebukadreza, Mfalme wa Babeli (The King of the Ancient Mesopotamia) iliyotafsiriwa na Daniel, Nabii (Daniel 2:44, 45) kwamba utawala wa Mungu ndio utakaosimama mwisho baada…
Kukithiri michango ya matibabu, ishara ya tatizo mfumo wa afya
Moshi Na Nassoro Kitunda Imekuwa ni kawaida sasa wananchi kuomba fedha kwa ajili ya matibabu. Afya ni huduma muhimu ambayo wananchi wanaihitaji sana. Ukipitia mitandao ya kijamii, utaona namna watu wanavyoomba kuchangiwa matibabu, na ni mamilioni ya fedha ili waweze…