JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Ufaulu Hisabati bado ni tatizo

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Mchakato wa utekelezaji wa sera ya Tanzania ya viwanda unapaswa kuanzia shuleni na vyuoni kwa kuwaandaa wahitimu katika ngazi mbalimbali za elimu. Ni lazima kutekeleza sera hiyo kwa vitendo baada ya  mafunzo na…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (4)

DAR ES SALAAM  Na Mwalimu Paulo Mapunda Hapo zamani Mungu alikwisha kufunua kupitia ndoto ya Nebukadreza, Mfalme wa Babeli (The King of the Ancient Mesopotamia) iliyotafsiriwa na Daniel, Nabii (Daniel 2:44, 45) kwamba utawala wa Mungu ndio utakaosimama mwisho baada…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (3)

Dar es Salaam                                                                           …

Kukithiri michango ya matibabu, ishara ya tatizo mfumo wa afya

Moshi Na Nassoro Kitunda Imekuwa ni kawaida sasa wananchi kuomba fedha kwa ajili ya matibabu. Afya ni huduma muhimu ambayo wananchi wanaihitaji sana. Ukipitia mitandao ya kijamii, utaona namna watu wanavyoomba kuchangiwa matibabu, na ni mamilioni ya fedha ili waweze…

Uganda yaamuriwa kuilipa DRC mabilioni

Na Nizar K Visram Mahakama ya Kimataifa (ICJ) iliyo Uholanzi imeihukumu Uganda kuilipa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) dola za Marekani milioni 325 (sawa na zaidi ya Sh bilioni 752) kama fidia kutokana na majeshi yake kuingia DRC mwaka…

Keki ya taifa inapoipindua nchi 

DODOMA Na Javius Byarushengo  Januari 22, 2022, jeshi la Burkina Faso lilifanya mapinduzi baridi kwa kumuondoa madarakani Roch Kabore, Rais aliyechaguliwa kidemokrasia. Kama ilivyo ada, yanapofanyika mapindiuzi, hupingwa kila kona ya dunia huku Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika…