Category: Makala
BARUA ZA WASOMAJi
Bukoba kulikoni?
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meya, Balozi Kagasheki tuambieni kulikoni Bukoba? Tuambieni wakweli ni wapi kati ya madiwani waliofukuzwa, meya na madiwani waliobaki. Tuambieni tatizo ni nini hasa? Kimefichika nini hasa?
FASIHI FASAHA
Tusizikwe tungali hai – 2
Katika sehemu ya kwanza niligusia watangazaji wastaafu na chama chao VEMA, dira na malengo ya sera ya habari na utangazaji, na watangazaji wa ‘dot com’ na vyombo vya utangazaji. Dhana hizo tatu zimo katika mgongano wa mawazo kuhusu kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha Watanzania.
Yah: Tunashindwaje kukabili vifo vya kujitakia?
Nataka niwe mtu wa tatu kupigana na utaratibu wa maisha ya Mtanzania kuwekewa mazingira ya kifo ambayo hakustahili, mazingira haya yanatayarishwa bila mtayarishaji na anayetayarishiwa kujua kuwa anaandaliwa mazingira ya kifo.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (9)
Katika sehemu ya nane ya makala haya, Dk. Khamis Zephania alizungumzia pamoja na mambo mengine, madhara ya kazi za usiku, makundi ya damu na uhusiano wa vidonda vya tumbo. Sasa endelea na sehemu hii ya tisa…
KAULI ZA WASOMAJI
Pongezi wana JAMHURI
Nawapongeza wafanyakazi wa Gazeti Jamhuri kwa kuanika wazi majina ya wauza unga katika toleo lililopita. Lakini kwanini serikali yetu isiwatie kitanzini kama huko China? Pia si hao tu, mafisadi nao watunguliwe risasi wazi wazi iwe fundisho kwa wengine wenye nia ya kufanya uovu huo.
Justus Julius Mwombeki, Bukoba
0753 191 029
Wajasiriamali na mfupa wa huduma kwa wateja
Siku moja nilikuwa mjini Mafinga wilayani Mufindi katika Mkoa wa Iringa. Nikiwa hapo niliingia kwenye duka moja la vifaa vya ujenzi nikiwa na lengo la kununua vifaa kadhaa vyenye thamani ya takribani shilingi laki tatu.