Category: Makala
Madai Tume ya Uchaguzi ni masafa mafupi
KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Hivi karibuni Chama cha ACT-Wazalendo kimetangaza waziwazi kuwa kitaendelea kunadi na kufanya ushawishi wa kudai Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kama sehemu pekee wanayoona italeta uchaguzi huru na wa haki. Wamesema watashirikiana na vyama…
SIKU YA WANAWAKE Warembo wanavyoupiga mwingi Bongo
DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Niwapongeze wanawake kwa kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani. Ni siku muhimu ambayo wanawake pekee waliothubutu kufanya mambo makubwa kwenye sekta mbalimbali ndio wanastahili kupokea pongezi hizo. Nyakati zimebadilika na sasa ni majira ambayo tunaona…
Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (5)
Dar es Salaam Na Mwl. Paulo Mapunda Wiki iliyopita tuliwatazama Wapythagoras na ufahamu wao kuhusu ukuu na utukufu wa namba, kwamba kwao 10 ni namba takatifu kwa kuwa ni jumla ya namba moja hadi nne (1+2+3+4=10) na kwamba ni Albert…
Hadi sasa Makonda hajashitakiwa popote
Na Bashir Yakub Kesi iliyo mahakamani dhidi ya Makonda si mashtaka ya jinai. Kilicho mahakamani mpaka sasa ni maombi tu ya Saed Ahmed Kubenea. Wala Makonda hatafutwi kukamatwa na mahakama yoyote, wala taasisi nyingine ikiwamo Polisi. Nimeona hadi magazeti yanayoheshimika…
Ni muhimu kuelewa haya kuhusu vita ya Ukraine
Na Nizar K Visram Vyombo vya habari vya kimataifa hivi karibuni vimetawaliwa na vita ya Ukraine. Mengi yanasemwa na mengine hayasemwi. Bila shaka wengi wetu watataka kujua nini kinachoendelea na chimbuko lake. Ndiyo maana ni muhimu kujua pia kile kisichosemwa…
Maboresho ya kanuni yatachochea ukuaji wa sekta ya mawasiliano
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Katika kuboresha mazingira ya utoaji huduma za mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imetangaza maboresho ya Kanuni za Miundombinu ya Utangazaji Dijiti na Kanuni za Leseni zinazosimamiwa na Mamlaka ya…