JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Chondechonde kumbukeni Bunge la Karimjee, Dar es Salaam

Nashukuru kwa kuwa Bunge letu sisi lilikuwa pale Dar es Salaam, Karimjee na pia hakuna vikinga hatari kama vilivyopo katika Bunge lenu la pale Dodoma, na wakati ule idadi ya wabunge ilikuwa ndogo, kiasi cha 72 tu, waliochaguliwa kwa jembe na nyumba.

TBS yajivunia mafanikio yake

Miezi sita iliyotolewa na Waziri wa Viwanda na Biashara kwa ajili ya kupima utendaji kazi wa Bodi na Manejimenti ya Shirika la Viwango nchini (TBS) imekamilika na hapa Kaimu Mkurugenzi wa TBS, Joseph Masikitiko anaeleza mafanikio yaliyofikiwa kama alivyohojiwa na Mwandishi Wetu, EDMUND MIHALE.

KAULI ZA WASOMAJI

JAMHURI limetufumbua macho

NUKUU ZA WIKI

Julius Nyerere: Serikali imiliki mashirika nyeti

“Mashirika ya msingi na nyeti kwa maendeleo ya taifa kama bandari, reli, posta na simu, nishati na mabenki ya umma yaliyopo, yaendelee kumilikiwa na dola. Wananchi wataweza kuuziwa sehemu ya hisa katika mashirika hayo na mashirika haya yanaweza kuingia ubia na makampuni binafsi, mradi tu kwa uwiano unaolifanya shirika kuendelea kuwa la dola.”

Shirika la Fedha la Kimataifa siyo Wizara ya Fedha ya Kimataifa

 

Hii ni sehemu ya hotuba iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwenye kilele cha Sherehe za Mei Mosi, 1995 mjini Mbeya. Kwenye sehemu iliyopita, Mwalimu alisema mtu yeyote mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu na wewe una akili na unajua ni ya kipumbavu na ukayakubali, atakudharau. Alielezea hisia zake juu ya uuzwaji holela wa viwanda na mashirika yaliyokuwa yakijiendesha kwa faida. Endelea…

 

Nchi moja mataifa mawili

Ndugu zangu, Watanganyika na Wazanzibar, natumaini kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma mwenye kutoa neema kubwa na ndogo hamjambo na mnaendelea na mapambano ya kulijenga taifa lililobarikiwa kuliko taifa lolote jirani.