JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Mtoto na malezi (1)

Mtoto ni malezi. Mtoto akilelewa katika malezi mazuri atakuwa na maadili mazuri. Mwanafalsafa Anselm Stolz alipata kusema, “Ukimpa mtu samaki atamla mara moja, lakini ukimfundisha kuvua atakula samaki kila siku.”

Chakula cha bure: Falsafa ya Pinda!

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuhakikisha inaisimamia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) ili igawe chakula cha bure kwa kaya 20,000 zinazoishi katika Tarafa ya Ngorongoro.

Mil 121/- ‘zatafunwa’ Hospitali ya Geita

  Siri ya wizi wa Sh zaidi ya milioni 121 za Hospitali ya Wilaya ya Geita imefichuliwa. Imewekwa wazi na aliyekuwa Mhasibu wa Idara ya Afya hospitalini hapo, Frank Maganga, akimtaja aliyekuwa Mganga Mkuu wa Wilaya, Dk. Omary Dihenga, kutumia…

Vidonda vya tumbo na hatari zake (16)

Wiki iliyopita, Dk. Khamis Zephania alieleza vyanzo na madhara ya magonjwa ya saratani ya tumbo na vidonda vya tumbo kwa mama wajawazito. Sasa mfuatilie zaidi katika sehemu hii ya 16…


 

Jinsi vidonda vya tumbo vinavyochunguzwa


Salaam za Kagasheki kwa majangili

*Angependa wakikutwa maporini ‘wamalizwe’ huko huko

*Maelfu ya wananchi wakubali adhabu ya kifo kwa wahusika

*Muswada kuipa makali sheria kuwasilishwa Bunge lijalo

Muda ni saa 2 na dakika kadhaa asubuhi. Mbele ya Makao Makuu ya Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuna mamia ya watu wa rika, rangi na jinsi zote. Wana mabango yenye ujumbe maalumu.

Vijana na makundi matatu ya uongozi

Mwaka 1974 hadi 1978 nilikuwa Katibu Mkuu wa kwanza miongoni mwa waasisi wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Kinondoni (KIFA), Dar es Salaam. Mwaka 1976 Katibu wa wanachuo, Chuo cha TANU Kivukoni, na Katibu wa TANU (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) kazini.